Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YALIYOJIRI DAR LIVE KATIKA SHEREHE YA WAUZA MAGAZETI JANA

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo, akisalimiana na baadhi ya wauza magazeti  baada ya kuwasili Dar Live Pichani kutoka kulia ni Katibu wa Mawakala na Wauza Magazeti, Msokolo,  wa pili ni mwenyekiti wake, Mzee Deo, katikati ni Eric Shigongo,  akiwa na Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho na Afisa Utawala wa Global Publishers, Soud Kivea… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

GLOBAL TV ONLINE :SHUHUDIATAMASHA LA WAUZA MAGAZETI DAR LIVE LILIVYOFANA


KAMPUNI ya Global Publishers ambayo ni wachapishaji wa Magazeti ya Amani, Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa, Uwazi Mizengwe na Ijumaa Wikienda, Jumapili iliyopita iliwafanyia bonge la sherehe wauzaji wa magazeti na mawakala wao ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar.Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo akizungumza na mawakala na wauza magazeti wa jijini Dar.Sherehe hiyo ilifanyika kwa lengo la kuwakusanya wauza magazeti wote jijini Dar ili...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL ILIVYOWAANDALIA SHEREHE WAUZA MAGAZETI MWANZA

Mwakilishi wa Global Publishers Masumbuko Ali, akizungumza na wauza magazeti wa Jiji la Mwanza. Muuza magazeti akisoma gazeti la Risasi.…

 

10 years ago

GPL

GLOBAL YAWAFANYIA SHEREHE WAUZA MAGAZETI, Y-TONY, NATURE WAPAGAWISHA

Risasi Vibes KAMPUNI ya Global Publishers ambayo ni wachapishaji wa Magazeti ya  Amani, Uwazi, Championi, Risasi, Ijumaa, Uwazi Mizengwe na  Ijumaa Wikienda, Jumapili iliyopita iliwafanyia bonge la sherehe wauzaji wa magazeti na mawakala wao ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo akizungumza na mawakala na wauza magazeti wa… ...

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI JANA MAISHA BASEMENT EID EL FITRI, DAR

Meneja Mkuu wa Burudani wa Maisha Basement, Hemedi Kavu (HK, wa pili kulia)  akiwa katika pozi na warembo hao.
Warembo wa New Maisha Basement (katikati) wakiwa kwenye picha ya pozi na wamasai
Warembo wakipiga picha za…

 

11 years ago

GPL

YALIYOJIRI JANA KATIKA JUBILEE YA MIAKA 50 YA MSONDO NGOMA , TCC CHANG’OMBE

The Grand Utalii Jazz Band, wakiongozwa na Hamza Kalala (kushoto) na Rajabu Zomboko (katikati) wakifanya yao. Mshereheshaji, Masoud Masoud akizinadi CD za albamu mpya ya Msondo Ngoma. Baadhi ya mashabiki wa Msondo wakinunua CD hizo.…

 

10 years ago

GPL

MAOFISA MASOKO WA GLOBAL WATEMBELEA WAUZA MAGAZETI DAR

Maofisa wa Global sambamba na wasomaji wa magazeti wakiwa wamezunguka meza ya muuza magazeti eneo la Tabata-Chama. Maofisa Masoko wa Global Publishers. Kutoka kulia ni Yohanna Mkanda, Jimmy Haroub na Jordan Ngowi wakichukua maoni kutoka kwa muuzaji wa magazeti Stendi ya Tabata, Segerea. Jimmy Haroub akiviangalia vitabu vya Shigongo katika…

 

10 years ago

Michuzi

WALIOPEWA TUZO JANA KATIKA SHEREHE YA TASWA)

A; WACHEZAJI BORA1; Samson Ramadhan (riadha).2; Martin Sulle (riadha)3; Mary Naali (riadha)4; Kikosi cha Taifa Stars kilichocheza mechi za kufuzu CHAN 2009 (soka)5; Mwanaid Hassan (netiboli)6; Hasheem Thabeet (kikapu)7; Timu ya Taifa ya gofu wanawake iliyoshika nafasi ya pili mashindano ya Afrika yaliyofanyika Abuja, Nigeria mwaka 2010.:8; Twiga Stars:9; Francis Cheka10; Mbwana Samatta Cio…B;TUZO ZA VIONGOZI1;  Jenerali mstaafu, George Waitara2.  Kanali mstaafu, Idd Kipingu3;  Dioniz Malinzi4.  Leodeger...

 

5 years ago

CCM Blog

UWT KATA YA MAKONGO WAFANYA SHEREHE KUWAPONGEZA KINA MAMA 13 WALIOZOA VITI VYOTE KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA KATA HIYO MWAKA JANA

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Makongo, katika jimbo la Kawe, Dar es Salaam, Janeth Mahawanga akizungumza wakati wa hafla ya kuwapongeza kina mama wa CCM walionyakuwa viti vyote katika Kata hiyo wakati nwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka jana. Kulia ni Mgeni rasmi, Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Grace Haule na kulia ni Katibu wa UWT Wilaya ya Temeke Huba Issa. PICHA ZAIDI>> BOFYA HAPA


MAKONGO, Dar es Salaam
Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani