UWT KATA YA MAKONGO WAFANYA SHEREHE KUWAPONGEZA KINA MAMA 13 WALIOZOA VITI VYOTE KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA KATA HIYO MWAKA JANA
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya Makongo, katika jimbo la Kawe, Dar es Salaam, Janeth Mahawanga akizungumza wakati wa hafla ya kuwapongeza kina mama wa CCM walionyakuwa viti vyote katika Kata hiyo wakati nwa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka jana. Kulia ni Mgeni rasmi, Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Grace Haule na kulia ni Katibu wa UWT Wilaya ya Temeke Huba Issa. PICHA ZAIDI>> BOFYA HAPA
MAKONGO, Dar es Salaam
Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAZAZI YA CCM KATA YA SINZA YAWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUKIPA USHINDI KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge akiwahutubia wanaccm wa Kata ya Sinza katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru kufuatia kukipa ushindi chama hicho kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
11 years ago
GPLCCM YAONGOZA KATA 11 KATIKA JUMLA YA KATA 13, UCHAGUZI MDOGO KALENGA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iDcb_1OT9JE/VIqHpmeZewI/AAAAAAAG2qA/I_SXol2XGeE/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI,NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iDcb_1OT9JE/VIqHpmeZewI/AAAAAAAG2qA/I_SXol2XGeE/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cu4twY1thXM/VIqHqJdT0RI/AAAAAAAG2qI/tILptUgsHHU/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2Imw5R9q4qg/VIqHq5jQbtI/AAAAAAAG2qQ/8LsxPZ-udAU/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slc0NlylLsYbcs5UwLFJ3qlO6PyKv9KKijF3oHAR8sXPLRgDNvRXMG2ycSJdkN4PjL7mYJVYATk2aVc7Xdte4z-8/unnamed7.jpg?width=650)
MAMA SALMA KIKWETE ATEMBELEA KATA ZA MIKUMBI, NDARO NA MBANJA HUKO LINDI MJINI KWA AJILI YA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MKOANI LINDI
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
UWT Singida vijijini wafanya uchaguzi wa diwani wa viti maalum
Wajumbe wa mkutano mkuu wa uchaguzi wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilaya ya Singida vijijini, waliohudhuria mkutano mkuu wa uchaguzi wa viti maalum madiwani. Mkutano huo umefanyika jana (22/7/2015) kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu).
Mjumbe wa jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Singida vijijini,a kipiga kura kuchagua diwani wa viti maalum jana (22/7/2015) kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya Mwenge mjini hapa.
10 years ago
GPLDIWANI WA KATA YA VIJIBWENI (CCM), ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
GPLDIWANI WA KATA YA VIJIBWENI ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Chama cha Mapinduzi chazoa viti vyote serikali za mitaa manispaa ya Singida
Mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina akitoa taarifa ya matokeo ya jumla ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijijini manispaa ya Singida. (picha na maktaba).
Na Nathaniel Limu, Singida
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) manispaa ya Singida,imeibuka kidedea baada ya kuzoa nafasi zote 50 za uenyeviti wa mitaa, sawa na aslimia mia moja kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliomalizika juzi.
Hayo yamesemwa na msimamiziwa uchaguzi huo manispaa ya Singida, Joseph Mchina,wakati...