Macmillan Lyimo: TLP ndiyo chama sahihi kwa Watanzania
Macmillan Lyimo amejitokeza kuwa miongoni mwa Watanzania wanasiasa wanaowania urais katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Mhe Maximillian Lyimo apiga kura Vunjo
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/U9Phmn0SvgZRqxNMpuRV6u_G-Hg-EH6QW2YsdKBVviwZIV0vfLb0apq-l5Zb6FInX7J1gsYRPIUbx8bUcrqUtA2WwrcDY8aAKqhg9IPeifD9PTZdQiHExYCjw4aGwUPJBBwrTH6qL7Nx9Pt3qp4Bo7bDMIh_-eEW3iQx1YAIFcHkY2J2pyWiUjtJdklpovxrpo_5VmqYPz2SOhtd0ZGxp-mWCzn76kEamd5p_BeET6WOGw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/zCV6O6VKkHwc4eD6IHgVsneag5D66z2q1uEY*0DRwt6npYpF0wk16iPLurBom2tDPmdWv4rwokreR5T5Pv3SDRmc5FDjcPzX/MaxmillianLyimotlp.jpg?width=650)
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Mhe. Maximillian Lyimo hatimaye amepiga kura yake katika Kituo cha Njia Panda, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, baada ya mambo kuwekwa sawa. Awali Mhe. Lyimo alishindwa kupiga kura baada ya kukosekana taarifa zake kituoni hapo.Mhe Lyimo aliyejiandikishia mkoani Dar es Salaam, jana alienda kufunga kampeni zake Jimbo la Vunjo na kulala huko. Asubuhi ya leo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s72-c/DSC_5634.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015: MCHUNGAJI MTIKILA WA DP, FAHMI DOVUTWA WA UPDP,MAXMILLIAN LYIMO WA TLP WACHUKUA FOMU ZA UTEUZI ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s640/DSC_5634.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GohRAeWI1Mw/Vbz_A9asL_I/AAAAAAAHtIE/XpMWjagnr3E/s640/DSC_7629.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Nov
Haya ndiyo matamanio ya Watanzania kwa Dk Magufuli
Siku moja baada ya Rais Mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kukabidhiwa cheti chake kuwa ndiye mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, wananchi wakiwamo wa kada mbalimbali wameelezea hisia zao na matanio yao kuona atatekeleza ahadi alizotoa kwenye mikutano yake ya kampeni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200520_115602_451.jpg)
TLP WAJIPANGA KUZUNGUKA NCHI NZIMA, KUHAMASISHA KUJENGA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q49vYJiiHlA/XsUA46vYQBI/AAAAAAAAJkg/WQJcW21woWQ6Ey1El4Dh1_b9o72wfbJAwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115602_451.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--qh9SR2JT-8/XsUBU2LjmQI/AAAAAAAAJlE/Qup0KPU2DAIr6f-kDsisgGJa7ormdbsxgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115347_870.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-tuvX8KX_Xmo/XsUBVeqgCZI/AAAAAAAAJlM/tXMxfiJlH3897xhHVv98873dpRYTitJWwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200520_115355_508.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4qOp8TF5zjNQXPgW07uwG7-cFvS5DJsVjAeyaU*DzxVtg01qAVkFuGz9wu8zeiHidhO5-0yqgiZutiY0JDL-S4/mrema.jpg?width=650)
CHAMA CHA TLP KIMEMPENDEKEZA MREMA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
Mh.Augustine Mrema Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), imempendekeza Augustine Mrema ambae pia ni mwenyekiti wa chama hicho kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Vunjo. Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho Nancy Mrikaria, akiongea jana na gazeti la mwananchi alisema kuwa kamati hiyo pia imemthibitisha Mrema kuendelea na nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Alisema kamati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cVA_eGxkaTI/XmIZBRIc4mI/AAAAAAALhcQ/Fa6r8UIXDfU-76SXp4kPZjGV8_HyGJYrwCLcBGAsYHQ/s72-c/8d01c21b-2702-4345-97e3-a1feab003e43.jpg)
KITUO CHA HABARI, AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA(CIPSA) KIMEWAHIMIZA WATANZANIA KUTUMIA HABARI NA TAKWIMU SAHIHI KWA MAEDELEO
Na Mwandishi Wetu,Michuzi Globu ya jamii
KATIKA kuelekea Siku ya Data wazi Duniani, Asasi ya Kituo cha Habari, Amani na Usalama Barani Afrika(CIPSA) umetoa mwito kwa raia kuendelea utamaduni wa kufuatilia habari sahihi na uwazi ili kuwasaidia katika kusukuma maendeleo yao ya kibinafsi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo hii katika kile alichokiita wiki ya uhamasishaji kupata habari sahihi kuhusu maendeleo yao kuelekea kilele cha siku ya data wazi duniani Machi 7 mwaka huu, Mkurugenzi wa...
KATIKA kuelekea Siku ya Data wazi Duniani, Asasi ya Kituo cha Habari, Amani na Usalama Barani Afrika(CIPSA) umetoa mwito kwa raia kuendelea utamaduni wa kufuatilia habari sahihi na uwazi ili kuwasaidia katika kusukuma maendeleo yao ya kibinafsi.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo hii katika kile alichokiita wiki ya uhamasishaji kupata habari sahihi kuhusu maendeleo yao kuelekea kilele cha siku ya data wazi duniani Machi 7 mwaka huu, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Serikali ichague karata sahihi gesi iwanufaishe Watanzania
Wadau mbalimbali wa sekta ya gesi wamekuwa wakilalamikia Serikali kutokana na hofu kuhusu mgawanyo sawa wa rasilimali ya gesi asilia na ushiriki wa wazawa kwenye sekta hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZwoVTDf9oxQ/Xlk5D1WVZ9I/AAAAAAALf84/85Gd7pMs_jYA3gciF-u3biWgaZ1I3uDQQCLcBGAsYHQ/s72-c/708f3f9e-d3f7-420c-a211-f160d3f9c29f%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Je Watanzania Wamechagua Mtu au Chama?
UCHAGUZI Mkuu 2015 umekwisha na Watanzania wamemchagua Dk.
Mwandishi Wetu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania