CHAMA CHA TLP KIMEMPENDEKEZA MREMA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4qOp8TF5zjNQXPgW07uwG7-cFvS5DJsVjAeyaU*DzxVtg01qAVkFuGz9wu8zeiHidhO5-0yqgiZutiY0JDL-S4/mrema.jpg?width=650)
Mh.Augustine Mrema Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), imempendekeza Augustine Mrema ambae pia ni mwenyekiti wa chama hicho kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Vunjo. Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho Nancy Mrikaria, akiongea jana na gazeti la mwananchi alisema kuwa kamati hiyo pia imemthibitisha Mrema kuendelea na nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Alisema kamati...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Apr
TLP yampitisha Mrema kugombea ubunge Vunjo
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI, JAMES MBATIA AKARIBISHWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
10 years ago
MichuziMWENYEKITI WA NCCR-MAGEUZI,JAMES MBATIA AKARIBISHWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s72-c/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
MHE.DAVID KAFULILA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE TENA KATIKA JIMBO LA KIGOMA KASINI KUPITIA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s640/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1EbRIC714rs/VbshkxylXSI/AAAAAAAC9HY/aRKslwIemZk/s640/20150731001752.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CDOdbBx4crA/VbshlrvvdJI/AAAAAAAC9HU/QQsvFOWIFjI/s640/20150731001754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhcWFlabuSI/Vbshmm347FI/AAAAAAAC9Hc/XIiioSl_OPw/s640/20150731001757.jpg)
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Mrema aanza jitihada kutoa TLP ‘ICU’ Vunjo
10 years ago
MichuziJUMUIYA YA VIJANA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (UVCCM) MKOA WA KILIMANJARO WAKUTANA JIMBO LA VUNJO
10 years ago
MichuziWENYEVITI WA TAIFA WA VYAMA VYA NCCR -MAGEUZI ,JAMES MBATIA NA AGUSTINE MREMA WA TLP WAWANADI WAGOMBEA WAO JIMBONI VUNJO.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/m0nYlQV9bwI/default.jpg)
10 years ago
VijimamboBAADA YA KUVULIWA UBUNGE TLP..MREMA AAMUA KUJIUNNGA RASMI NA ACT
Augustino Mrema (kulia).NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAMKAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.Akizungumza jana, jijini Dar es Salaam na vyombo vya habari, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joram Kinanda alisema kuwa kamati hiyo imefikia uamuzi huo baada ya kupitia kwa kina malalamiko yaliyokuwa yakimuhusu Mrema, ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo.Mwenyekiti huyo alisema kuwa mbali na Mrema wengine...