Mrema akimlalamikia Mbati "kuhamia" jimbo la Vunjo
![](http://img.youtube.com/vi/m0nYlQV9bwI/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Mbatia: Mrema hana hati miliki Jimbo la Vunjo
Jina la James Mbatia siyo geni miongoni mwa Watanzania hususani Jimbo la Vunjo kwani ndiye alikuwa Mbunge wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995.
9 years ago
MichuziMREMA ACHUKIZWA NA RAFU ZA MBATIA KATIKA JIMBO LA VUNJO
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Lyatonga Mrema amesema kuwa kushindwa kwake ubunge kulitokana na michezo mchafu uliochezwa na mshindi wa ubunge wa jimbo hilo, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, James Mbatia
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mrema amesema kuwa mshindi wa jimbo hilo amekuwa akionywa na msimamizi wa uchaguzi kutokana na matumizi ya vipeperushi ambavyo yeye alijipigia...
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mrema amesema kuwa mshindi wa jimbo hilo amekuwa akionywa na msimamizi wa uchaguzi kutokana na matumizi ya vipeperushi ambavyo yeye alijipigia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4qOp8TF5zjNQXPgW07uwG7-cFvS5DJsVjAeyaU*DzxVtg01qAVkFuGz9wu8zeiHidhO5-0yqgiZutiY0JDL-S4/mrema.jpg?width=650)
CHAMA CHA TLP KIMEMPENDEKEZA MREMA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
Mh.Augustine Mrema Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), imempendekeza Augustine Mrema ambae pia ni mwenyekiti wa chama hicho kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Vunjo. Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho Nancy Mrikaria, akiongea jana na gazeti la mwananchi alisema kuwa kamati hiyo pia imemthibitisha Mrema kuendelea na nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Alisema kamati...
10 years ago
MichuziMrema aunguruma Vunjo
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Mrema kwisha kazi Vunjo
HALI ya kisiasa ya Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro, Augustine Mrema, (TLP), imezidi kuwa mbaya baada ya ngome yake kuzidi kumeguka na kutangaza kumuunga mkono Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TkWYNCvY3R8/VUo2pd1KzVI/AAAAAAAAAZI/ogbJd89y6w0/s72-c/DSC_0628.jpg)
MREMA ALIA NA ARDHI YA VUNJO
![](http://2.bp.blogspot.com/-TkWYNCvY3R8/VUo2pd1KzVI/AAAAAAAAAZI/ogbJd89y6w0/s1600/DSC_0628.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NW7NEpkQXJQ/VUoy-XJ523I/AAAAAAAAAYs/ONWcQeYE7rM/s1600/DSC_0657.jpg)
9 years ago
TheCitizen09 Oct
Magufuli ‘backs’ Mrema for Vunjo
CCM presidential candidate John Magufuli raised eyebrows when he decided to tout Vunjo Parliamentary Seat aspirant under the Tanzania Labour Party (TLP) ticket, Mr Augustino Mrema, saying the latter has a good background and the best leadership experience.
10 years ago
GPLMREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO
Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema (kushoto) akielezea mgogoro uliopo baina ya mwekezaji na wananchi wa jimbo lake (kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Vicent Tiganya) pamoja na wanahabari pembeni. .... Mrema (wa nne kutoka kushoto) akiwa ameambatana na baadhi ya wananchi wa Jimbo la Vunjo Moshi (kushoto) wakati akizungumza na wanahabari.… ...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mrema, Dk Magufuli wapigiana kampeni Vunjo
Katika hali ambayo haikutarajiwa, Mwenyekiti wa TLP taifa, Augustino Mrema leo amemnadi mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa ndiye anafaa kuwa rais wakati chama chake kikiwa kimemsimamisha, Macmillian Lyimo kuwania nafasi hiyo ya urais kwa tiketi ya TLP.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania