Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mrema akimlalamikia Mbati "kuhamia" jimbo la Vunjo

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mbatia: Mrema hana hati miliki Jimbo la Vunjo

Jina la James Mbatia siyo geni miongoni mwa Watanzania hususani Jimbo la Vunjo kwani ndiye alikuwa Mbunge wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1995.

 

9 years ago

Michuzi

MREMA ACHUKIZWA NA RAFU ZA MBATIA KATIKA JIMBO LA VUNJO

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Lyatonga Mrema amesema kuwa kushindwa kwake ubunge kulitokana na michezo mchafu uliochezwa na mshindi wa ubunge wa jimbo hilo, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha NCCR-MAGEUZI, James Mbatia
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mrema amesema kuwa  mshindi wa jimbo hilo amekuwa akionywa na msimamizi  wa uchaguzi kutokana na matumizi ya vipeperushi ambavyo yeye alijipigia...

 

10 years ago

GPL

CHAMA CHA TLP KIMEMPENDEKEZA MREMA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO

Mh.Augustine Mrema Dar es Salaam. Kamati Kuu ya Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), imempendekeza Augustine Mrema ambae pia ni mwenyekiti wa chama hicho kutetea kiti chake cha ubunge katika jimbo la Vunjo. Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho Nancy Mrikaria, akiongea jana na gazeti la mwananchi alisema kuwa kamati hiyo pia imemthibitisha Mrema kuendelea na nafasi yake ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Alisema kamati...

 

10 years ago

Michuzi

Mrema aunguruma Vunjo

Aliyekuwa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Kata ya Makuyuni, Badi Mandali akizungumza mara baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa Tanzania Labour Party (TLP) katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Kata ya Makuyuni, Himo mkoani Kilimanjaro, juzi. Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa chama hicho, Augustine Mrema na mkewe Rose Mrema.Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustine Mrema akiongoza maandamano ya wakazi wa Kijiji cha Lole, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro mara baada ya kumaliza mkutano...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mrema kwisha kazi Vunjo

HALI ya kisiasa ya Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro, Augustine Mrema, (TLP), imezidi kuwa mbaya baada ya ngome yake kuzidi kumeguka na kutangaza kumuunga mkono Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James...

 

10 years ago

Michuzi

MREMA ALIA NA ARDHI YA VUNJO

 Mbunge wa jimbo la Vunjo, Augustino Mrema akitetea uchukuliwaji wa kiwanja kilicho chukuliwa na wawekezaji badala ya kutumika kama ilivyopangwa na mmiriki wa kiwanja kilichopo katika kijiji cha Himo eneo la Mieresini,Jimboni Vunjo, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa habari MAELEZO  jijini Dar es Salaam leo na kulia ni  Mkurugezi Msaidizi wa IDARA YA HABARI MAELEZO Tiganya Vincent.    Mwakilishi wa familia ya mzee Lekule, Denis Lekule  akizungumza na wandishi wa habari hawapo...

 

9 years ago

TheCitizen

Magufuli ‘backs’ Mrema for Vunjo

CCM presidential candidate John Magufuli raised eyebrows when he decided to tout Vunjo Parliamentary Seat aspirant under the Tanzania Labour Party (TLP) ticket, Mr Augustino Mrema, saying the latter has a good background and the best leadership experience.

 

10 years ago

GPL

MREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO

Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema (kushoto) akielezea mgogoro uliopo baina ya mwekezaji na wananchi wa jimbo lake (kulia kwake ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Vicent Tiganya) pamoja na wanahabari pembeni. .... Mrema (wa nne kutoka kushoto) akiwa ameambatana na baadhi ya wananchi wa Jimbo la Vunjo Moshi (kushoto) wakati akizungumza na wanahabari.… ...

 

9 years ago

Mwananchi

Mrema, Dk Magufuli wapigiana kampeni Vunjo

Katika hali ambayo haikutarajiwa, Mwenyekiti wa TLP taifa, Augustino Mrema leo amemnadi mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kuwa  ndiye anafaa kuwa rais wakati chama chake kikiwa kimemsimamisha, Macmillian Lyimo kuwania nafasi hiyo  ya urais kwa tiketi ya TLP.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani