MREMA ALIA NA ARDHI YA VUNJO
![](http://2.bp.blogspot.com/-TkWYNCvY3R8/VUo2pd1KzVI/AAAAAAAAAZI/ogbJd89y6w0/s72-c/DSC_0628.jpg)
Mbunge wa jimbo la Vunjo, Augustino Mrema akitetea uchukuliwaji wa kiwanja kilicho chukuliwa na wawekezaji badala ya kutumika kama ilivyopangwa na mmiriki wa kiwanja kilichopo katika kijiji cha Himo eneo la Mieresini,Jimboni Vunjo, katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo na kulia ni Mkurugezi Msaidizi wa IDARA YA HABARI MAELEZO Tiganya Vincent.
Mwakilishi wa familia ya mzee Lekule, Denis Lekule akizungumza na wandishi wa habari hawapo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMrema aunguruma Vunjo
10 years ago
Tanzania Daima20 Oct
Mrema kwisha kazi Vunjo
HALI ya kisiasa ya Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro, Augustine Mrema, (TLP), imezidi kuwa mbaya baada ya ngome yake kuzidi kumeguka na kutangaza kumuunga mkono Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James...
10 years ago
GPLMREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO
9 years ago
TheCitizen09 Oct
Magufuli ‘backs’ Mrema for Vunjo
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Mrema, Dk Magufuli wapigiana kampeni Vunjo
10 years ago
Mwananchi21 Apr
TLP yampitisha Mrema kugombea ubunge Vunjo
10 years ago
Michuzi12 Nov
MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO
10 years ago
Habarileo08 Feb
Vunjo yageuka uwanja wa sinema ya Mbatia, Mrema
JIMBO la Vunjo mkoani Kilimanjaro, limegeuka ‘steji’ ya sinema ya kuwania ubunge kati ya Mbunge wa sasa, Mwenyekiti wa Chama cha TLP, Agustino Mrema na mpinzani wake katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Mbunge wa kuteuliwa na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10