MREMA AENDELEA NA MIKUTANO JIMBONI KWAKE VUNJO
Mkutano wa hadhara wa chama cha Tanzania Labour (TLP) uliokuwa ukihutubiwa na Mbunge wa jimbo la Vunjo Agustine Mrema jirani na matanki ya Maji katika kijiji cha Mieresini wilaya ya Moshi vijijini.
Afisa uhusiano wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Moshi (MUWSA) Frolah Nguma (aliyesimama)akitoa ufafanuzi juu ya maswala ya maji baada ya Mbunge Mrema kumtaka kufanya hivyo muda mfupi baada ya maofisa wa Mamlaka hiyo kufika katika Matenki ya Maji kwa ajili ya ukaguzi wa kawaida.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CE5CzVe0KHQ/VEYm9YXADJI/AAAAAAACtIg/evGJAR20R08/s72-c/unnamed.jpg)
Mheshimiwa Dkt Augustine Lyatonga Mrema ahutubia mkutano wa hadhara jimboni kwake vunjo
![](http://3.bp.blogspot.com/-CE5CzVe0KHQ/VEYm9YXADJI/AAAAAAACtIg/evGJAR20R08/s1600/unnamed.jpg)
Katika jimbo hilo la Vunjo kumekuwepo na Mvutano mkubwa wa kuliwania katika uchaguzi mkuu wamakani ambapo kwa vyama vya CCM tayari kijana Innocent Shirima ameshatangaza nia kama alivyofanya Mh. James Mbatia wa ...
10 years ago
MichuziMREMA AENDELEA KUANDAMWA VUNJO,WANANCHI WACHANGA PESA KUMCHUKULIA FOMU INNOCENT MELLECKY WA CCM
Inocent Melleck akizungumza na baadhi ya wananchi waliojitokeza kumchangia fedha kwa ajili ya kuchukulia fomu za kuwania Ubunge katika jimbo la Vunjo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
MBUNGE wa jimbo la Vunjo,Agustino Mrema(TLP) ameendelea kupata upinzani katika Jimbo lake baada ya baadhi ya wananchi kujitokeza...
10 years ago
MichuziWENYEVITI WA TAIFA WA VYAMA VYA NCCR -MAGEUZI ,JAMES MBATIA NA AGUSTINE MREMA WA TLP WAWANADI WAGOMBEA WAO JIMBONI VUNJO.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
11 years ago
MichuziMH. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA JIMBONI KWAKE CHATO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qh43sVVTvic/VPBhoEF4QjI/AAAAAAAHGMk/OjL29VnzpeU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Mh. Makalla aendelea na ziara jimboni kwake kwa usafiri wa bodaboda
Kutokana na kutokuwepo kwa barabara nzuri za kuelekea kwenye kijiji hicho,Mh. Makalla aliamua kutumia zaidi ya saa moja kufika kijiji cha Sewe kwa kutumia usafiri wa pikipiki ili mradi awafikie wananchi wake.
Mara baada ya kuwasili kijiji hicho,wananchi walifurahi na...
10 years ago
MichuziMhe Ridhiwani Kikwete aendelea na zaiara yake jimboni kwake Chalinze
10 years ago
MichuziMrema aunguruma Vunjo
10 years ago
GPLMREMA ALALAMIKIA WAWEKEZAJI VUNJO
9 years ago
TheCitizen09 Oct
Magufuli ‘backs’ Mrema for Vunjo