Mhe Ridhiwani Kikwete aendelea na zaiara yake jimboni kwake Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akihutubia wananchi mjini Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo, Pwani, ambapo pamoja na kuwashuru kwa kumchagua, pia alisema atatumia unasheria wake kuwasaidia wakazi wa jimbo hilo wanaonyimwa haki zao za msingi ikiwemo kuporwa ardhi.
Ridhiwani akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa Masoko mjini Chalinze
Mkazi wa Chalinze, Bibi akitoa malalamiko yake mbele ya Mbunge Ridhiwani Kikwete ya kudhulumiwa shamba lake na watu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PAz97aEjRUk/VOmqdss3pXI/AAAAAAAHFKM/wm4iniRsgsw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGEGWhG-45ESsZS1EwSpm*kQxSlcRQm3W7BC6VbOHPqSuRCy3ueQah312Dbi64wsJ02FfffNSDW*MYbItB1hngCf/2POM2.jpg?width=650)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA KAMPENI CHALINZE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-foNWzDqlmQ0/VQ-dzUb019I/AAAAAAAHMUA/IXxjvHAW8co/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Mh. Ridhiwani Kikwete adhamiria kunyanyua michezo jimboni kwake
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani,Ridhiwani Kikwete ameendelea na ziara yake kwenye Jimbo hilo ambapo ameendelea kuangalia shughuli mbalimbali za maendeleo.
Mbali ya kuangalia masuala ya maendeleo pia kwenye suala la michezo hakuwa nyuma kwa kuweza kukabidhi jezi kwa kijiji cha Mboga ili kuendeleza michezo kwa vijana walioko kwenye kijiji hicho.
![](http://2.bp.blogspot.com/-foNWzDqlmQ0/VQ-dzUb019I/AAAAAAAHMUA/IXxjvHAW8co/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE ATEMBELEA SHUGHULI ZA MAENDELEO JIMBONI KWAKE
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete jana alianza ziara kwenye Jimbo hilo ambapo ametembelea shughuli mbalimbali pamoja na kujua changamoto zilizopo kwenye Jimbo lake.
Ridhiwani alitembelea kata ya Pera na kuzungumza na wakazi wa vitongoji mbalimbali ambavyo vinaunda kata hiyo ambapo leo ametembelea kata ya Kibindu nako alipata fursa ya kuzungumza na wakazi wa vitongoji vilivyopo kwenye kata hiyo.
Mbunge huyo atakuwa na ziara ya wiki moja...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-stquVIhr004/UzhrEzLZhhI/AAAAAAAFXbI/WeWukTrYvvU/s72-c/1.jpg)
Ridhiwani kikwete aendelea na kampeni za lala salama chalinze
![](http://4.bp.blogspot.com/-stquVIhr004/UzhrEzLZhhI/AAAAAAAFXbI/WeWukTrYvvU/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OVUBFHvvDO8/UzjeCzHFDgI/AAAAAAAFXgs/zZyz-FErrQw/s1600/7.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/04/61.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA NA LALA SALAMA YA KAMPENI CHALINZE