Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria kuwanyima haki ya kupiga kura wafungwa

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesema wafungwa hawatapiga kura katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 kwa sababu sheria inayoweza kuwapa fursa hiyo haijafanyiwa marekebisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SERIKALI KUWAPA WAFUNGWA HAKI YA KUPIGA KURA

Na Lorietha Laurence-Maelezo,DodomaSerikali imeweka mikakati ya kuhakikisha kuwa wafungwa wote wanaotumikia kifungo chini ya miezi sita na mahabusu wanawapatia haki yao ya msingi ya kupiga kura.Akijibu swali la Mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje aliyehoji kuhusu wafungwa kutoruhusiwa kupiga kura,Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Uratibu na Bunge, Jenister Mhagama alisema kwa mujibu wa ibara ya 5(2) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wafungwa wote wenye vifungo chini ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.Wanahabari wakichukua taarifa hiyoWapiga picha na wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.
KITUO cha Sheria na Haki za...

 

10 years ago

GPL

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU CHAZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA KURA YA MAONI YA KATIBA‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Hellen Kijo-Bisimba (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam wakati akitoa taarifa kuhusu changamoto za utekelezaji wa sheria ya kura ya maoni ya Katiba. Kulia ni Mratibu wa Katiba wa LHRC, Anna Henga na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala, Ezekiel Massanja.… ...

 

10 years ago

Mwananchi

BVR isiwe sababu ya kukosa haki ya kupiga kura

Ni wazi kwamba mpango wa uandikishaji wapigakura kwenye Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa BVR umegubikwa na malalamiko kutoka kila eneo ambako uandikishwaji umefanywa.

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

5 years ago

Michuzi

Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu



Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...

 

10 years ago

Habarileo

Wafungwa wadaiwa kunyimwa haki

WAFUNGWA wengi hawapewi haki zao za msingi miongoni mwake, ikiwa ni kukaa muda mrefu magerezani na mahabusu bila kuonana na ndugu zao.

 

11 years ago

BBCSwahili

Somalia inakiuka haki za wafungwa - HRW

Human Rights Watch imeishutumu Somalia kwa kuwanyima wafungwa haki za uakilishi na kuwashitaki raia chini ya mahakama za kijeshi.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri- Magereza zingatieni haki za wafungwa

LICHA ya magereza nchini kufurika wafungwa, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe amelitaka jeshi la Magereza nchini kuhakikisha wanafanya kazi kwa kuzingatia maadili na haki za binadamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani