DAS NAMTUMBO AWATAKA MAAFISA WANYAMAPORI KUFANYAKAZI WALIZOSOMEA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEX8wvsDfRo/XlZTSqZL7AI/AAAAAAALfh8/xmjBv_UGSTghnTraYPYV1DxpoTHHsv1XACLcBGAsYHQ/s72-c/Klein_Namutomi_Waterhole%252C_Namibia.jpg)
NA YEREMIAS NGERANGERA….NAMTUMBOAKIZUNGUMZA kwenye mkutanao wa uzinduzi wa zoezi la kulipakifuta jasho na machozi kwa wananchi wa kijiji cha Nambecha wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma katibu tawala bwana Aden Nchimbi aliwaagiza maafisa wanyamapori wilayani humo kufanya kazi walizosomea na sio vinginevyo.
Aden alisema serikali inatumia fedha nyingi kulipa kifuta jasho na machozi kwa wananchi walioathirika na wanyama waharibifu kila mwaka huku maafisa wanyamapori akiwaona wakiwa maofisini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s72-c/IMG-20150508-WA0027.jpg)
WAZIRI NYALANDU AKAGUA MENO YA TEMBO YALIYOKAMATWA NA ASKARI WANYAMAPORI WILAYANI NAMTUMBO
![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s1600/IMG-20150508-WA0027.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q5A3kiclWko/VVDRyH8V2BI/AAAAAAAHWuE/rfx6qR7W6kY/s640/IMG-20150508-WA0025.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
MAAFISA WA TUME YA UCHAGUZI: Watakiwa kufanyakazi zao kwa kuzingatia Sheria na taratibu!
baadhi ya washiriki wa mafunzo ya siku mbili kwa maafisa wa tume ya uchaguzi yaliyofanyika katika shule ya msingi Ikungi mchanganyiko
Na.Jumbe Ismailly.
[Ikungi-SINGIDA] Mkuu wa wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida ametoa wito kwa maafisa wa tume ya uchaguzi ngazi ya kata kuhakikisha viongozi watakaopatikana katika uchaguzi mkuu ujao wa Rais,wabunge na madiwani ni wale ambao wanatakiwa na wananchi na siyo wanaotakiwa na viongozi wa vyama vya siasa.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa wilaya ya...
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya Fastjet kutoa mafunzo kwa maafisa wa viwanja vya ndege juu ya masuala ya wanyamapori
11 years ago
Dewji Blog22 Jul
Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjhBB4EZH4/XvNbOuJb0bI/AAAAAAALvRo/B1X9BrqKkxMVBnxoxBNZmxGtoK4IpwCrgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_130030_7.jpg)
Lukuvi awataka maafisa aridhi kuwapa wananchi hati
Waziri wa Ardhi nyumba na makazi William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa ajili ya kuondoa migogoro.
Aidha aliwataka watu wote walio mjini kuanzia kuchukuwa hati za nyumba zao ili kuondokana na ulofa ambapo watambue kuwa hakuna makazi holela hivyo hati hizo kuwasaidia kupata mikopo kwenye taasisi za kifedha.
Aliyasema hayo wakati akizindua ofisi ya Ardhi mkoa wa...
10 years ago
Michuzi24 Feb
Mhadhiri wa chuo kikuu Mzumbe awataka maafisa ugavi na manunuzi nchini kuzingatia ubora na viwango
![TA1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/TA1.jpg)
![TA2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/TA2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nq-Bq0UGzew/Xs06TISBecI/AAAAAAALrp0/Ru9FypGHwgMBx6w9gFEYEBHU89x-79iuACLcBGAsYHQ/s72-c/691e059f-77aa-4222-9545-832e5d6f3b51.jpg)
AFISA TARAFA ITISO AWATAKA MAAFISA UGANI NA WATENDAJI WA KATA KUWATAMBUA WAKULIMA WA UFUTA KATIKA MAENEO YAO
AFISA Tarafa wa Tarafa ya Itiso Wilaya ya Chamwino, Remedius Emmanuel amesema serikali ina nia njema ya kuwasaidia wakulima kupitia mfumo wa Stakabadhi ghalani kwenye zao la ufuta.
Remedius ameyasema hayo leo katika mkutano wake na wananchi wa Tarafa yake uliolenga kujenga uelewa wa pamoja na kutoa ufafanuzi juu ya azma ya Wakala wa Taifa was Hifadhi ya Chakula (NFRA) kuweka kituo cha kununulia mahindi katika Tarafa hiyo.
NFRA wameweka kituo hiko kwenye Kijiji cha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s72-c/AA-7-1024x576.jpg)
NAIBU WAZIRI ULEGA AWATAKA MAAFISA UVUVI KUSIMAMIA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU ZA SEKTA YA UVUVI
![](https://1.bp.blogspot.com/-6p9VYUh4v3k/XlDq1Ua71gI/AAAAAAALezE/cXIO1UF_YGcew-JChxGT3Iy2wxThsb8GACLcBGAsYHQ/s640/AA-7-1024x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/AA-8-1024x576.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10