WAZIRI NYALANDU AKAGUA MENO YA TEMBO YALIYOKAMATWA NA ASKARI WANYAMAPORI WILAYANI NAMTUMBO
![](http://1.bp.blogspot.com/-bOOahD3zSRc/VVDR0ORyAoI/AAAAAAAHWuQ/Jr0aMay31F8/s72-c/IMG-20150508-WA0027.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Lazaro Nyalandu na Ofisa Wanyamapori akikagua meno ya tembo yaliyokamtwa na askari wa wanyamapori toka kwa majangili Likuyu Sekamaganga Namtumbo mkoani Ruvuma mwishoni mwa wiki iliyopita.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Lazaro Nyalandu na Ofisa Wanyamapori akikagua ngozi za wanyamapori zilizokamatwa na askari wa wanyamapori toka kwa majangili Likuyu Sekamaganga Namtumbo mkoani Ruvuma mwishoni mwa wiki iliyopita.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DpJ4AHqbKDQ/VcImuCMORzI/AAAAAAAHuZg/Ms4Rq_ZV8k8/s72-c/Untitled1.png)
10 years ago
VijimamboNYALANDU AWAPA SOMO ASKARI WANYAMAPORI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Lindi lamsaka askari Mwenye tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga alipokuwa Akitoa taarifa kwa waandishi...
11 years ago
Michuzi24 Feb
WAZIRI NYALANDU AWANG'OA VIGOGO IDARA YA WANYAMAPORI
![](https://4.bp.blogspot.com/-V-L2iqiK-dM/Uwt2znkiJwI/AAAAAAAAkDk/q-VPJUVmJ1k/s1600/NYALANDUZI.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu leo ametangaza kuwang'oa viongogo wa ngazi ya juu katika Idara ya wanyamapori akieleza kuwa ni kutokana na kutoridhishwa na utendaji wao.
Ifuatayo ni Taarifa rasmi ya tamko la Waziri Nyalndu, kama alivyolisoma leo:
Leo, TAREHE 24 Februari, 2014 Natangaza kuubadili uongozi wa Idara ya Wanyamapori ya Wizara ya maliasili na Utalii kama ifuatavyo:
Ninamuondoa Profesa Alexander Songorwa katika nafasi ya Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori ya...
11 years ago
MichuziWAZIRI LAZARO NYALANDU AKUTANA NA TAASISI ZA UHIFADHI WANYAMAPORI JIJINI NEW YORK
10 years ago
Habarileo25 Apr
Meno ya tembo sasa kuhifadhiwa Naibu Waziri Maji
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema Tanzania haina mpango wa kuchoma au kuuza meno ya tembo inayoyahifadhi na kwamba kinachofanyika ni kuyahesabu na kujua idadi yake ili kuyalinda kwa manufaa ya Taifa.
10 years ago
MichuziWAZIRI WA UTALII NA MALIASILI MHE. LAZARO NYALANDU AFUNGUA MKUTANO WA UHIFADHI WA WANYAMAPORI TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bacGNLBxUjQ/VT5OBhBwhLI/AAAAAAAHTnQ/9SSuzziUUwA/s72-c/11.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU ATEMBELEA CHUO CHA USIMAMIZI WANYAMAPORI PASIANSI-MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bacGNLBxUjQ/VT5OBhBwhLI/AAAAAAAHTnQ/9SSuzziUUwA/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-V4uhsRZ7WFk/VT5OHJx2ylI/AAAAAAAHTn8/DAHNdREx0kM/s1600/7.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akijaribu akikagua moja ya vitanda na hema linazotumiwa na wanafunzi wa Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Pasiansi mjini Mwanza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-chaPuUbmfNw/U3RZ9DrmYEI/AAAAAAAFhxg/RMJ66Jk1TZg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO