Jeshi la Polisi Mkoani Lindi lamsaka askari Mwenye tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la polisi mkoani Lindi linamtafuta askari wake mmoja mwenye namba F6508 Detective Constable JOSEPH YONA MASANJA mwenye Umri wa miaka 34 mzaliwa wa Wilaya ya ILEMELA Mkoani MWANZA Abae alikuwa akifanya kazi kituo cha polisi KILWA kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa vipande 62 vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 568 yaliyokuwepo kituoni hapo kama Vielelezo.
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga alipokuwa Akitoa taarifa kwa waandishi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s72-c/w.jpg)
WAMWANDIKIA BARUA YA WAZI RAIS DKT MAGUFULI ACHUKUE HATUA DHIDI YA UJANGILI WA BIASHARA HARAMU YA MENO YA TEMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s640/w.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zDxY1z3vIPw/Uyc1xvgosTI/AAAAAAAFUO8/LNeVhw9jGsY/s72-c/SelemanKova.jpg)
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam latimua kazi askari wanne kwa kujihusisha na uhalifu
![](http://4.bp.blogspot.com/-zDxY1z3vIPw/Uyc1xvgosTI/AAAAAAAFUO8/LNeVhw9jGsY/s1600/SelemanKova.jpg)
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limewafukuza kazi askari wake wanne waliodhibitika kujihusisha na matukio ya uhalifu, kwa mujibu wa Kamanda wa kanda hiyo Kamishna Suleiman Kova (pichani).
Kamanda Kova amesema leo jijini kuwa hatua hiyo imekuja baada ya uchunguzi wa awali kubaini kuwa askari hao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu. Ameseme vitendo hivyo ni pamoja na tukio la Machi 9, 2014 ambalo lilitokea eneo la Mbezi beachi ...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Mkazi wa Dar Es Salaam akamatwa na Jeshi la Polisi Mbeya akiwa na meno ya Tembo kilo 8.5
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia Lukas Wambura (38) Mkazi wa Banana – Dar es salaam mwenye shahada ya dharura ya kusafiria ab-10044029 akiwa na vipande vinne vya meno yadhaniwayo kuwa ya tembo vyenye uzito wa kilo 8.4 yenye thamani ya dola za kimarekani 30,000, sawa na tshs 64,140,000/=.
Tukio hilo limetokea Novemba 30 -2015 majira ya saa12 jioni katika eneo la custom – mpakani tunduma, , wilaya ya...
11 years ago
Michuzi12 Mar
polisi mkoani katavi wakamata mtu akiwa na meno ya tembo na gobole
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s72-c/IMG_7354.jpg)
WAHAMIAJI HARAMU 46 WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI MKOANI RINGA
![](http://3.bp.blogspot.com/-RypELKQJJoY/UxmecHoS_6I/AAAAAAAFRtA/ecw1_Y_y6mw/s1600/IMG_7354.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zeQNTX7oMyM/UxmeguzECoI/AAAAAAAFRtI/YYOOsw3KvQc/s1600/IMG_7362.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhR_gyHHfKg/Uxmeg4bwV2I/AAAAAAAFRtM/ZCRui4_lWd8/s1600/IMG_7370.jpg)
9 years ago
Habarileo28 Sep
Sumaye atakiwa kujibu tuhuma za meno ya tembo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Hai kimemtaka Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kujibu tuhuma zilizokuwa zikimkabili kuhusu gari alilokuwa akitumia kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh milioni 100 mwaka jana.
11 years ago
Habarileo07 Jan
Mchina kortini kwa tuhuma ya kunaswa na meno ya tembo
WATU wawili akiwemo raia wa China waliokamatwa na meno ya tembo Bandari ya Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kukutwa na nyara hizo bila kibali.
10 years ago
Dewji Blog27 Aug
Jeshi la polisi Ruvuma linawashikilia askari wawili kwa tuhuma ya kumjeruhi mwendesha Piki Piki
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela.
Na Nathan Mtega wa demashonews,Songea
JESHI la polisi mkoani Ruvuma linawashikilia askari wake wawili kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumpiga risasi mwendesha piki piki aliyejulikana kwa jina la Salgo Ndunguru(22) mkazi wa Ruvuma mjini Songea.
Akizungumza kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma Mihayo Msekhela amesema tukio hilo limetokea Agosti 26 mwaka huu majira ya saa 12 jioni katika mtaa wa Mfaranyaki mjini Songea ambapo askari polisi...
10 years ago
Vijimambo![](https://lh4.googleusercontent.com/-PvuagEuutuI/VK1tt6ofKoI/AAAAAAAAIxc/tFKHC9T-XeQ/s72-c/blogger-image-473220883.jpg)
ASKARI WA JESHI LA POLISI AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI YA MDOMONI MKOANI MBEYA
![](https://lh4.googleusercontent.com/-PvuagEuutuI/VK1tt6ofKoI/AAAAAAAAIxc/tFKHC9T-XeQ/s640/blogger-image-473220883.jpg)