Mchina kortini kwa tuhuma ya kunaswa na meno ya tembo
WATU wawili akiwemo raia wa China waliokamatwa na meno ya tembo Bandari ya Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kukutwa na nyara hizo bila kibali.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Nov
Warundi kortini kwa meno 18 ya tembo
RAIA watatu wa Burundi akiwemo mwanamke wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu mkazi wa Wilaya ya Morogoro, wakikabiliwa na mashitaka matatu ya kuhujumu uchumi baada ya kukamatwa na meno ya tembo 18, na mikia mitano ya twiga, vyote vikiwa na thamani ya Sh milioni 357.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-lQAjQVO71Lg/U43lv1hfdQI/AAAAAAAABOA/QttKyZMucGg/s72-c/ivory+px.jpg)
Kortini kwa kuuza meno ya tembo
Ni yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tano
NA FURAHA OMARY
WAFANYABIASHARA wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka ya kusafirisha na kuuza meno ya tembo yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tano.
![](http://2.bp.blogspot.com/-lQAjQVO71Lg/U43lv1hfdQI/AAAAAAAABOA/QttKyZMucGg/s1600/ivory+px.jpg)
Washitakiwa hao, Salivius Matembo (39) na Manase Philemon (39), walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka ya uhujumu uchumi.
Mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, Wakili wa Serikali, Pius Hilla akishirikiana na Mwendesha...
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Mchina wa meno ya tembo akosa dhamana
9 years ago
Mwananchi15 Aug
Meno ya tembo yalivyopitishwa uwanja wa ndege Dar na kunaswa Uswisi
9 years ago
Habarileo28 Aug
Mchina kortini Dar akidaiwa kukutwa na meno ya simba
RAIA wa China, Jianfeng Wu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kukutwa na meno ya simba yenye thamani ya Sh milioni 10.1.
9 years ago
Habarileo28 Sep
Sumaye atakiwa kujibu tuhuma za meno ya tembo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Hai kimemtaka Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kujibu tuhuma zilizokuwa zikimkabili kuhusu gari alilokuwa akitumia kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh milioni 100 mwaka jana.
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Vigogo TAA kortini, wadaiwa kusafirisha meno ya tembo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Lindi lamsaka askari Mwenye tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga alipokuwa Akitoa taarifa kwa waandishi...