polisi mkoani katavi wakamata mtu akiwa na meno ya tembo na gobole
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katiavi Afande Dhahiri Kidavashari akionesha meno ya tembo vipande 2 yenye thamani ya shilingi 22 aliyokamatwa nayo mtuhumiwa Bathoromeo Mtongwa Machi 8, 2014 katika kijiji cha Kilida, tarafa ya Mamba wilaya ya Mlele ambapo pia mtuhumiwa huyo alikamatwa na gobole 1 na risasi 14.
Mkaazi wa kijiji cha Kilida tarafa ya mamba wilaya ya mlele Bathoromeo Mtongwa (58) akiwa katika kituo cha polisi cha mkoa wa Katavi baada ya kukamatwa na meno mawili ya tembo yenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Polisi Dar Wakamata Meno ya Tembo 156, Bunduki mbili
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova akionesha baadhi ya vipande vya bunduki zilizokamatwa aina ya ‘RIFLE’ katika oparesheniiliyofanyika jana Temeke Sudan, Dar.
Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.
… Kova akivishikilia vipinde hivyo.
… Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno ya Tembo.
Wanahabari wakichukua tukio hilo.
Kamishna wa polisi, Suleiman Kova (kushoto) akiongea na wanahabari.
Baadhi ya...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Mkazi wa Dar Es Salaam akamatwa na Jeshi la Polisi Mbeya akiwa na meno ya Tembo kilo 8.5
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi.
Na Emanuel Madafa, Mbeya
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linamshikilia Lukas Wambura (38) Mkazi wa Banana – Dar es salaam mwenye shahada ya dharura ya kusafiria ab-10044029 akiwa na vipande vinne vya meno yadhaniwayo kuwa ya tembo vyenye uzito wa kilo 8.4 yenye thamani ya dola za kimarekani 30,000, sawa na tshs 64,140,000/=.
Tukio hilo limetokea Novemba 30 -2015 majira ya saa12 jioni katika eneo la custom – mpakani tunduma, , wilaya ya...
11 years ago
Michuzi13 Feb
News alert: mtu mmoja adakwa na vipande 21 vya meno ya tembo mkoani singida leo
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoani Lindi lamsaka askari Mwenye tuhuma za kujihusisha na biashara haramu ya Meno ya Tembo
![](http://4.bp.blogspot.com/-UgqiMGjIr40/U3ZbeIw03BI/AAAAAAAFiJc/tNizcz8nI6s/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa polisi mkoa wa Lindi,Kamishna Msaidizi Renatha Mzinga alipokuwa Akitoa taarifa kwa waandishi...
5 years ago
CCM BlogCORONA YAKATISHA MAADHIMISHO YA AFYA YA KINYWA NA MENO MKOANI KATAVI
5 years ago
CCM BlogTIMU YA MADAKTARI BINGWA WA AFYA YA KINYWA NA MENO YATUA IKOLA MKOANI KATAVI
11 years ago
Mwananchi09 May
Meno ya tembo yaibwa katika kituo cha polisi
10 years ago
Vijimambo09 Jun
POLISI MKOANI IRINGA WAKAMATA MAGUNIA MATATU YA BANGI
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/35.jpg)
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Ramadhani Mungi alisema polisi walifanya opresheni kusaka mambo yanayohusu makosa ya jinai na kufanyikwa kukamata maguni ya bangi pamoja na kukamatwa watuhumiwa sugu...