Mhadhiri wa chuo kikuu Mzumbe awataka maafisa ugavi na manunuzi nchini kuzingatia ubora na viwango
Afisa Mwandamizi Uraghibishi wa Ushindani,Alex Mbaga akizungumza kwenye semina hiyo leo kwa wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali juu ya manunuzi yanayozingatia thamani (Value for Money) iliyofanyika kwenye hotel ya Tanga Beach Resort mjini hapa.
Mkuu wa Idara ya Cartels (Makubaliano yanayodhirisha ushindani) kutoka Tume ya Ushindani Dar es Salaam,Shedrack Nkelebe akisisitiza jambo kwenye semina hiyo iliyohusisha wataalamu wa manunuzi na ugavi kutoka taasisi mbalimbali...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waandaaji wa Tuzo za filamu nchini washauriwa kuzingatia viwango na ubora wa kazi za wasanii
Katibu wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo (kushoto) akiwa katika kikao cha majadiliano na kamati ya Maandalizi ya Nyumbani Kiswahili Film Awards yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi Nyumbani Kiswahili Film Awards Bw. Fadhil Francis Mfate akichangia hoja wakati wa kikao cha majadiliano kuhusu maandalizi ya Tuzo hizo yaliyofanyika katika ofisi za Bodi ya Filamu hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yxqZN51jFu8/XlaKgOsYYFI/AAAAAAALfkE/Hq77cbPEG8QrIz_0hB7A9QN5r4J3RsIcQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE
Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...
11 years ago
Habarileo18 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kuongeza wanafunzi
UONGOZI wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Mbeya umedhamiria kuendelea kuongeza idadi ya wanafunzi mwaka hadi mwaka, ili kutekeleza Sera ya Serikali ya kupanua elimu ya juu na kuchangia kufikia malengo ya mileniamu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eh-smpWaylc/VISWP7GrPMI/AAAAAAAG1yU/ep5z6oS3DYk/s72-c/IMG_3237.jpg)
nondozzz chuo kikuu Mzumbe mjini morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-eh-smpWaylc/VISWP7GrPMI/AAAAAAAG1yU/ep5z6oS3DYk/s1600/IMG_3237.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1PANWYWGKrc/VISWeZK-dsI/AAAAAAAG1yk/IaLhmVWzMzU/s1600/IMG_3272.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b-vf1oFFkX0/VISWc_MiNMI/AAAAAAAG1yc/ftjVmUHFjS0/s1600/IMG_3274.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Chuo Kikuu Mzumbe waunga mkono Bunge la Katiba
10 years ago
Uhuru NewspaperRAIS JAKAYA KIKWETE AKIWA CHUO KIKUU MZUMBE
11 years ago
Habarileo21 Dec
Chuo Kikuu Mzumbe kufunda wataalamu mafuta na gesi
CHUO Kikuu Mzumbe, Kampasi ya Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Stellenbosch, cha Afrika Kusini kinaandaa mitaala ya programu ya shahada ya uzamili katika menejimenti ya miradi mikubwa ya sekta za madini, gesi na mafuta.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RZcmPMZgCQ4/VIIcrrbKVqI/AAAAAAAG1eI/cV3WfwfxDiE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
wadau hassan na Emmanuel walamba nondozzzz Chuo Kikuu Mzumbe
![](http://2.bp.blogspot.com/-RZcmPMZgCQ4/VIIcrrbKVqI/AAAAAAAG1eI/cV3WfwfxDiE/s1600/unnamed%2B(11).jpg)