Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Feb
Mhadhiri wa chuo kikuu Mzumbe awataka maafisa ugavi na manunuzi nchini kuzingatia ubora na viwango
![TA1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/TA1.jpg)
![TA2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/TA2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s72-c/P%2B1.jpg)
MKUTANO WA MWAKA WA WATAALAMU WA MANUNUZI NA UGAVI WAFUNGULIWA JIJINI ARUSHA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-UIsTBEjK2L8/VmWfMf0Yw-I/AAAAAAAAFHo/d3x0XsDPd5U/s640/P%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ts1PxFz7NYQ/VmWfOxG1FSI/AAAAAAAAFHw/_oCatwEjG9k/s640/P2.jpg)
9 years ago
Habarileo04 Sep
Magufuli: Nilikwepa vishawishi vya rushwa
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameelezea namna alivyokuwa akikwepa vishawishi kutokana na hulka yake ya kusimamia uadilifu, uchapakazi na utoaji huduma kwa umma kwa wakati.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s72-c/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
MAAFISA SABA WA JUU WA FIFA WAKAMATWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MJINI ZURICH NCHINI SWITZERLAND
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yz_yfNMGA-U/VWXcTcu9qiI/AAAAAAABPaM/vkGq5nV6za4/s640/291A4F7500000578-3098633-image-a-5_1432718466686.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vqqdr1C2m4I/VWXa_UWJKBI/AAAAAAABPZw/PFNdnr68D7o/s640/2916BB2300000578-3098633-Six_high_ranking_FIFA_executives-a-86_1432706905792.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-gwH3to2ZXp0/VWXa_ZWvsjI/AAAAAAABPZs/ueOw-9Hqi94/s640/2919C5CB00000578-3098633-image-a-112_1432708514643.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-34.jpg)
WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s640/4-34.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-50.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-i7f52u0q10o/VH3C6-OLF4I/AAAAAAAG0yw/PYqWsY6XLEk/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
NAIBU WAZIRI WA FEDHA AFUNGUA MKUTANO WA WATAALAMU WA UGAVI JIJINI ARUSHA
Mwandishi wetu,Arusha
WIZARA ya Fedha, imeitaka Bodi ya Wataalam wa Ugavi na Manunuzi nchni (PSPTB), kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha na kuwataka waajiri kuacha mara moja kuwaajiri watu wasio na sifa kufanya kazi hizo
Naibu Waziri wa Fedha,Adam Malima ametoa kauli hiyo leo wakati akifungua mkutano wa tano wa mwaka wa Siku mbili unaofanyika kwenye jengo la Mikutano la AICC jijini Arusha ambapo aliwataka Wataalamu hao kuzingatia maadili...
WIZARA ya Fedha, imeitaka Bodi ya Wataalam wa Ugavi na Manunuzi nchni (PSPTB), kutafuta ufumbuzi wa tatizo la kufanya manunuzi bila kuzingatia thamani halisi ya fedha na kuwataka waajiri kuacha mara moja kuwaajiri watu wasio na sifa kufanya kazi hizo
Naibu Waziri wa Fedha,Adam Malima ametoa kauli hiyo leo wakati akifungua mkutano wa tano wa mwaka wa Siku mbili unaofanyika kwenye jengo la Mikutano la AICC jijini Arusha ambapo aliwataka Wataalamu hao kuzingatia maadili...
10 years ago
Michuzi16 Feb
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) yatoa mafunzo kwa wataalamu wake
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi imeendesha mafunzo kwa walimu ,wataalam wanaosimamia wanafunzi wa fani ya ununuzi na ugavi wanaofanya tafiti kama sehemu ya mafunzo yao ya stashahada ya ununuzi na ugavi.
Mafunzo hayo yalifunguliwa jana, na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, Bw, Aziz Kilonge, ambaye aliwaasa wataalam hao kuhakikisha kwamba wanasimamia wanafunzi kwa ukamilifu ili kuongeza ubora wa kazi za utafiti zinazofanywa.
Aidha, alifafanua kuwa uzingatiaji wa maadili katika kufanya...
Mafunzo hayo yalifunguliwa jana, na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi, Bw, Aziz Kilonge, ambaye aliwaasa wataalam hao kuhakikisha kwamba wanasimamia wanafunzi kwa ukamilifu ili kuongeza ubora wa kazi za utafiti zinazofanywa.
Aidha, alifafanua kuwa uzingatiaji wa maadili katika kufanya...
10 years ago
Michuzi24 Feb
PSPTB YAFANYA SEMINA YA UTAFITI KWA WANAFUNZI WA BODI YA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI
Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi PSPTB imeendesha mafunzo kwa wanafunzi wa fani ya ununuzi na ugavi wanaofanya tafiti kama sehemu ya mafunzo yao ya shahada ya Ununuzi na ugavi.Mafunzo hayo yalifunguliwa tarehe 16 Februari 2015 na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi Dr. Clemence Tesha, ambaye aliwaasa wanafunzi hao wazingatie mafunzo hayo ili kuongeza ubora wa kazi za utafiti watakazofanya kwa ajili ya kupata shahada ya juu ya ununuzi na ugavi. Aidha, alisisitiza kuwa wanapaswa kuzingatia maadili...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-da_x8VyBNjw/Xni0wWYORVI/AAAAAAALkys/WkmMbZkYEUYjVB7XtDsZi-aJmpUkuM7VACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Watumishi TBS Watakiwa Kuepuka Vishawishi
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS),kuepuka vishawishi katika utendaji kazi ili nchi iwe salama na kuvutia wawekezaji zaidi.
Prof. Shemdoe aliyasema hayo hivi karibuni alipotembelea TBS kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.
Prof. Shemdoe alisema ili kuwezesha biasharaTBS inapaswa kufanya kazi kwa...
Prof. Shemdoe aliyasema hayo hivi karibuni alipotembelea TBS kwa mara ya kwanza baada ya kuteuliwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo.
Prof. Shemdoe alisema ili kuwezesha biasharaTBS inapaswa kufanya kazi kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania