WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-34.jpg)
Muonekano wa barabara ya Sumbawanga- Matai- Kasanga Port (Km 117), kwa kiwango cha lami. Barabara hii imefikia asilimia 94.6 na inatarajiwa kukamilika mwezi Juni mwaka huu.
Muonekano wa mizani ya Matai, mkoani Rukwa. Utekelezaji wa ujenzi wa mizani hii umefikia asilimia 99.PICHA NA WUUM
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAASWA WATUMISHI WA SERIKALI MIPAKANI KUTOISALITI NCHI YAO KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Mh. Wangabo amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kwani kuwapitisha wageni hao kwa kutumia rushwa kutasababisha nchi itaingia kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Watumishi wa Serikali mipakani waaswa kutoisaliti nchi yao kujiepusha na ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Bandari ya Kabwe, Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0102-scaled.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na Kikosi cha Ulinzi na Usalama Mkoa akitoa maelekezo baada ya kuiona nyumba itakayotumika kwaajili ya kuhifadhi wageni kwa siku 14 katika bandari ya Kabwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0086-scaled.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (katikati) akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda (kushoto) pamoja na msimamizi wa Bandari ya Kabwe Mohamed Issa (Kulia) na wengineo wakati wakiingia katika lango kuu la bandari hiyo...
10 years ago
Habarileo02 Feb
Rushwa yatimua 400 mizani
WAZIRI wa Ujenzi Dk John Magufuli amevitaka vyombo vya dola kuingilia kati suala la rushwa kwenye vituo vya mizani za kupimia uzito wa magari yanayosafirisha mizigo, akisema rushwa hiyo imekithiri.
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSTz7Qbt8yU/Xm54mpl4JHI/AAAAAAALjww/rR1Mfo55lygl0fEbLkBjleTVGMiUqgKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/03c006a1-dc07-42e4-95c9-bc205f2cd875.jpg)
Serikali yatoa wito wananchi kujiepusha na rushwa wakati huduma za afya-Dkt. Subi
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha kutoa rushwa kwa wahudumu wa afya pindi wanapopatiwa huduma kwani kutoa kutoa huduma ni wajibu wao.
Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Wanawake Wanataka Nini inayoratibiwa na Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania ikiwa ni maadhimisho ya Utepe Mweupe Tanzania ambayo hufanyika Kila Machi...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Rushwa nje nje mizani ya Wenda
BAADHI ya watumishi katika Kituo cha Mizani cha Wenda mkoani hapa, wanadaiwa kuendelea kupokea rushwa kutoka kwa madereva wa magari makubwa. Wanafanya hivyo licha ya kufungwa kamera ya CCTV, kubaini wanaohusika katika vitendo hivyo.
10 years ago
Habarileo17 May
Waandishi waaswa kupiga vita rushwa
WAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.
5 years ago
MichuziBARAZA LA WAFANYAKAZI NFRA WAASWA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA VITENDO
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Kilimo Bi Hilda Kinanga akisisitiza jambo wakati akimuwakilisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Ndg Gerald Kusaya kwenye ufunguzi wa Baraza la wafanyakazi lililofanyika leo tarehe 21 Mei 2020 katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha Ujenzi Mkoani Morogoro. Wengine pichani ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA Ndg Milton Lupa (Kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha...
10 years ago
Habarileo19 Mar
Salma awataka mabinti kujiepusha na ngono
WANAFUNZI wametakiwa kujiepusha na vitendo vitakavyowasababisha kupata maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na mimba za utotoni, jambo litakalowafanya wakatize masomo na hivyo kutotimiza ndoto za maisha yao.