Salma awataka mabinti kujiepusha na ngono
WANAFUNZI wametakiwa kujiepusha na vitendo vitakavyowasababisha kupata maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU) na mimba za utotoni, jambo litakalowafanya wakatize masomo na hivyo kutotimiza ndoto za maisha yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
Salma awataka wajawazito kujifungulia vituo vya afya
JAMII imehimizwa kuhamasisha wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya ambako watasaidiwa na wakunga wenye ujuzi, kwa kufanya hivyo vifo vya kinamama na watoto wachanga vinavyotokana na tatizo la uzazi vitapungua.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BH6IO6CwEZs/U0-IWhXoQYI/AAAAAAAFbdM/M1_JxXMUXks/s72-c/27.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA KATA YA MSINJAHILI KUTOOGOPA KUVUTA UMEME MAJUMBANI MWAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-BH6IO6CwEZs/U0-IWhXoQYI/AAAAAAAFbdM/M1_JxXMUXks/s1600/27.jpg)
Wakazi wa kata ya Msinjahili wilayani Lindi wametakiwa kutoogopa kuvuta umeme majumbani mwao kwa kuhofu kuwa wakifanya hivyo wataonekana ni matajiri kwani matumizi ya umeme ni ya gharama naafuu ukilinganisha na mafuta ya taa.
Mwito huo umetolea jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama hicho katika matawi ya...
10 years ago
Dewji Blog28 Feb
Mama Salma Kikwete awataka wanaume kuwaunga mkono wake zao kupima saratani za matiti na shingo ya kizazi
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akikabidhi mashine ya kupimia saratani ya matiti kwa akina mama kwa uongozi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Luteni Jenerali Samuel Ndomba (kulia). Hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika kwenye Hospitani Kuu ya Jeshi Lugalo kwenye Kitengo cha Uzazi na Mtoto kilichoko Mwenge tarehe 27.2.2015. Aliyesimama pembeni kwa Mama Salma ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Donan Mmbando na aliyesimama kulia kwa...
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mama Salma Kikwete awataka wakazi wa Lindi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki kwenye zoezi la kuipigia kura Katiba inayopendekezwa na uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R-f339wgAzY/VNsJRDo1W6I/AAAAAAAHDAQ/1W1gbJge_gc/s72-c/salma-pps.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WAKAZI WA MKOA WA LINDI KUJITOKEZA KWA WINGI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
![](http://2.bp.blogspot.com/-R-f339wgAzY/VNsJRDo1W6I/AAAAAAAHDAQ/1W1gbJge_gc/s1600/salma-pps.jpg)
Wakazi wa mkoa wa Lindi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kushiriki kwenye zoezi la kuipigia kura Katiba inayopendekezwa na uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-34.jpg)
WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s640/4-34.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-50.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F9pPkHGY6K8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z9wCRl8yNuQ/Xk4T2IFWEPI/AAAAAAALeaY/k8Y_9T2tvHE8UgQjAEjmrI29scm1mU_2gCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_5664AA-1024x682.jpg)
WANANCHI WASHAURIWA KUJIEPUSHA NA USAMBAZAJI TAARIFA ZA UPOTOSHAJI MITANDAONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-z9wCRl8yNuQ/Xk4T2IFWEPI/AAAAAAALeaY/k8Y_9T2tvHE8UgQjAEjmrI29scm1mU_2gCLcBGAsYHQ/s640/DSC_5664AA-1024x682.jpg)
Mjumbe wa bodi ya Wakurugenzi wa Kondoa Community Network (KCN), Antony Diallo akiongea wakati akifungua mafunzo yaliyoandaliwa na taasisi ya Kondoa Community Network (KCN) ya kuelimisha matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa vikundi mbalimbali vya kujiletea maendeleo yaliyofanyika hivi karibuni Wilayani Kondoa, Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC_5687AA-1024x682.jpg)
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya corona: Jinsi ya kujiepusha na maambukizi wakati wa Ramadhan