WAASWA WATUMISHI WA SERIKALI MIPAKANI KUTOISALITI NCHI YAO KUJIEPUSHA NA UGONJWA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Weu4L-MAIgw/Xn84ad_q3nI/AAAAAAAC18U/B_nlmTHrFmMMFlb92F-JAl-m0sjcIaJegCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Katika hali ya kupambana na maambukizi ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona, Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka maafisa uhamiaji pamoja na watumishi wengine katika bandari za mkoa huo pamoja na mpaka wa nchi kavu kuacha tabia ya kupokea rushwa kutoka kwa wageni hasa katika kipindi hiki ambacho ni hatari kwa nchi.
Mh. Wangabo amewataka watumishi hao kufanya kazi kwa uadilifu mkubwa kwani kuwapitisha wageni hao kwa kutumia rushwa kutasababisha nchi itaingia kwenye...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Watumishi wa Serikali mipakani waaswa kutoisaliti nchi yao kujiepusha na ugonjwa wa Corona.
![](https://1.bp.blogspot.com/-cRRTAGA9oaA/Xn-WTJ1PxeI/AAAAAAALlaw/Ra6TGfHFKWE6uEvRjPmvf9RsLppRIyxaACLcBGAsYHQ/s640/DSC_0088-2048x1369.jpg)
Bandari ya Kabwe, Wilayani Nkasi, Mkoani Rukwa
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0102-scaled.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo pamoja na Kikosi cha Ulinzi na Usalama Mkoa akitoa maelekezo baada ya kuiona nyumba itakayotumika kwaajili ya kuhifadhi wageni kwa siku 14 katika bandari ya Kabwe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0086-scaled.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo (katikati) akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda (kushoto) pamoja na msimamizi wa Bandari ya Kabwe Mohamed Issa (Kulia) na wengineo wakati wakiingia katika lango kuu la bandari hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAPEWA ELIMU YA UELEWA JUU YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
![](https://1.bp.blogspot.com/-J9sGHm9GYJo/Xo3OCvcvtNI/AAAAAAAC88E/vLSv_9Q9RxodJ1buVdYT9Pcnft5bTAZfQCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-w7tuscuS3pI/Xo3OCk-mqzI/AAAAAAAC878/gA_nnJJFS24-HH2T_WU0K-3rRi3OwoTowCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-3ESuESaSkNQ/Xo3OCqKlAEI/AAAAAAAC88A/7o0HHkWnp_oqTW4bBxMmlDQA4EY-sN8nwCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0126.jpg)
WAANDISHI WA HABARI ARUSHA WAASWA KUONGEZA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-krR28RPVatc/XqxES8jk6nI/AAAAAAAAQtk/UsMXtICpuGg6m1dTXKLSnCRY3NxqdpCiQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0126.jpg)
Mratibu wa mtandao Habari za jamii za pembezoni(MAIPAC) Mussa Juma akiwa na Mkurugenzi wa taasisi ya CILAO, Odero Charles wakimkabidhi mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa Arusha,Claude Gwandu vifaa kinga dhidi ya Corona kwa waandishi wa habari lakini pia muongozo wa kufanyakazi kwa tahadhari kwa vyombo vya habari.
Na Vero Ignatus Arusha.
Waandishi wa habari mkoa wa Arusha, wametakiwa kuongeza tahadhari za kiafya katika kujikinga na maambukizi ya Covid -19 kwa kufuata maelekezo...
9 years ago
Michuzi14 Dec
Wasanii waaswa kuendeleza ushirikiano baina yao na Serikali
![cb3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb3.jpg)
![cb2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/cb2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-34.jpg)
WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s640/4-34.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-50.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0ctACJ-m2Os/XqkRorSGpOI/AAAAAAAC4KA/Uq0xQCbGWTAn9NP_6AdYbEZgytj_nxTeQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI KUENDELEA KUWAKINGA WATUMISHI WA AFYA NA UGONJWA WA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-0ctACJ-m2Os/XqkRorSGpOI/AAAAAAAC4KA/Uq0xQCbGWTAn9NP_6AdYbEZgytj_nxTeQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hayo yamesemwa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati wa kikao baina yake na wamiliki wa Hospitali binafsi na viongozi wa vyama vya kitaaluma vya afya.
Waziri Ummy alisema ni jukumu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s72-c/1.jpg)
WATUMISHI WAPYA 222 WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA NA UZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xDN8HxdYR7A/VRR9rBuGSTI/AAAAAAAHNiM/0n8CDbzBa7k/s1600/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s72-c/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi
![](https://1.bp.blogspot.com/-L8hacTk3Wzk/XnWp5mvfN7I/AAAAAAALkmE/Qm-qdGkovFciHUJxQVVgow0vkgJQ7EvYwCLcBGAsYHQ/s640/4bpl109c1a5461109ak_800C450.jpg)
Aidha wapinzani wanautazama uchaguzi huo ambao utafanyika kesho Jumapili kuwa mbinu za rais Alpha Condé ambaye anataka kubadilisha katiba ili aweze kuwania muhula wa tatu kinyume cha sheria ya sasa.
Ingawa katiba mpya ambayo inatazamiwa kuidhinishwa katika kura ya maoni ina kipengee cha...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Tanzania haina ugonjwa wa EBOLA, udhibiti viwanja vya ndege na mipakani waimarishwa
Mtaalam wa ufuatiliaji wa magonjwa ya binadamu wa wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Vida Mmbaga akitoa ufafanuzi kuhusu historia ya ugonjwa wa Ebola, Virusi vyake , dalili na namna unavyoenea wakati wa mafunzo maalum kwa waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo jijini Dar es salaam.
Na. Aron Msigwa –MAELEZO.
Imeelezwa kuwa Tanzania kwa sasa haina raia yeyote aliyeingia nchini kutoka mataifa mengine aliyebainika kuwa na maabukizi ya Virusi vya ugonjwa wa Ebola kufuatia zoezi...