Serikali yatoa wito wananchi kujiepusha na rushwa wakati huduma za afya-Dkt. Subi
![](https://1.bp.blogspot.com/-PSTz7Qbt8yU/Xm54mpl4JHI/AAAAAAALjww/rR1Mfo55lygl0fEbLkBjleTVGMiUqgKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/03c006a1-dc07-42e4-95c9-bc205f2cd875.jpg)
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha kutoa rushwa kwa wahudumu wa afya pindi wanapopatiwa huduma kwani kutoa kutoa huduma ni wajibu wao.
Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Wanawake Wanataka Nini inayoratibiwa na Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania ikiwa ni maadhimisho ya Utepe Mweupe Tanzania ambayo hufanyika Kila Machi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSERIKALI MTANDAO IMEPUNGUZA GHARAMA ZA HUDUMA KWA WANANCHI NA MIANYA YA RUSHWA SERIKALINI-Dkt.MWANJELWA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) CHATOA WITO KWA WATOA HUDUMA ZA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WL1nQSyLwFo/XnvEHRULnDI/AAAAAAAAnL4/1I9TzMiziz47UIbVXmGViQnC-zVrz23LgCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQ24GFSBxD8/XnvEHfmycpI/AAAAAAAAnL0/3qphNIUpIpcjQgpa2SfgL6ijz6XZZIu4ACLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZyuJbuTtBC8/XotXIpmjuRI/AAAAAAALmPQ/PVHIlXXoD-84xneh4KW9rXVq5AFXqZKxQCLcBGAsYHQ/s72-c/8c16a246-096d-41b4-93d3-b7b14fb56d67.jpg)
WANANCHI WAITIKIA WITO WA SERIKALI
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Leo Jumatatu Aprili 6, 2020 Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu amewashukuru Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kwa kuitikia vyema wito wa Serikali wa kupambana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na kirusi Corona.
Gavana Shilatu ameyasema hayo wakati alipofanya ziara ya kukagua maeneo mbalimbali kuona namna gani Wananchi wanajikinga na ugonjwa wa virusi vya Corona ambapo alikuta Watu wengi wamezingatia somo la kunawa kwa kuweka ndoo yenye maji pamoja na sabuni...
11 years ago
MichuziWizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia yatoa wito kwa wananchi kuzingatia matumizi ya tehama
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s72-c/001.jpg)
SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GGXZFf3Giq8/XptGuv9aQLI/AAAAAAALnXA/EqiS8UiTTEIzUhwbAZb9QxdIqmKPhYDCgCLcBGAsYHQ/s640/001.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/002.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/003.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4-34.jpg)
WAATUMISHI MIZANI WAASWA KUJIEPUSHA NA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9bI7-uHIPK0/XlKZ6Sf61_I/AAAAAAALe60/0vpVVCgNrIgpqvcqHghZ4jdtIXVU7ZVOgCLcBGAsYHQ/s640/4-34.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/5-25.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-50.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wflBHkavd4E/XqsQDFXaZII/AAAAAAALosU/aRfJgzp-WiMf5OML9wdUKnPk9oQ3RNqnQCLcBGAsYHQ/s72-c/5a10b6eb-68bf-4978-b217-47ae804e124f.jpg)
SAFARI ZA KWENDA KUWATEMBELEA NDUGU VIJIJINI ZISUBIRI CORONA IISHE – DKT. SUBI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wflBHkavd4E/XqsQDFXaZII/AAAAAAALosU/aRfJgzp-WiMf5OML9wdUKnPk9oQ3RNqnQCLcBGAsYHQ/s640/5a10b6eb-68bf-4978-b217-47ae804e124f.jpg)
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akieleza jambo wakati akiongea na Waandishi wa habari katika juu ya mwenendo wa kampeni ya “Mikono safi, Tanzania salama” inayolenga kuelimisha wananchi juu ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
********************************
Na WAMJW- DSM
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi ametoa wito kwa...
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
NSSF yatoa huduma za afya bure Maonesho ya Sabasaba
![Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_0098.jpg)
Mmoja wa Maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mbele aliyekaa akitoa huduma katika Banda lao kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wao.
Dk. Suzan Lymo toka Hospitali ya Amana jijini Dar es Salaam (wa kwanza kulia) akimuhudumia mteja akipatiwa huduma za afya bure zinazotolewa na NSSF.
![Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma katika Banda la NSSF kwenye maonesho 39 ya Kimataifa ya Biashara, Sabasaba. viwanja vya Mwalimu Julias Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tayari kwa kuwahudumia wateja wao.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG_01042.jpg)
Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakitoa huduma...