SERIKALI MTANDAO IMEPUNGUZA GHARAMA ZA HUDUMA KWA WANANCHI NA MIANYA YA RUSHWA SERIKALINI-Dkt.MWANJELWA
Na. Aaron Mrikaria-Dodoma Utoaji huduma kupitia Serikali Mtandao katika Taasisi za Umma nchini umekuwa na tija kwa wananchi kwa kuwapunguzia gharama za kusafiri umbali mrefu kufuata huduma katika Taasisi za Umma, ikiwa ni pamoja na kupunguza mianya ya rushwa kwa watumishi wanaowahudumia wananchi katika taasisi za umma. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Mary Mwanjelwa jijini DODOMA wakati akizungumzia maboresho ya huduma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSTz7Qbt8yU/Xm54mpl4JHI/AAAAAAALjww/rR1Mfo55lygl0fEbLkBjleTVGMiUqgKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/03c006a1-dc07-42e4-95c9-bc205f2cd875.jpg)
Serikali yatoa wito wananchi kujiepusha na rushwa wakati huduma za afya-Dkt. Subi
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha kutoa rushwa kwa wahudumu wa afya pindi wanapopatiwa huduma kwani kutoa kutoa huduma ni wajibu wao.
Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Wanawake Wanataka Nini inayoratibiwa na Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania ikiwa ni maadhimisho ya Utepe Mweupe Tanzania ambayo hufanyika Kila Machi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s72-c/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s400/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Ajira za serikalini sasa kwa mtandao
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxeqXVdiF*zwz1vyzStXZ0oMjl*4cTpaZ2mPoQgWfBoB3puNuM-LiifVmRsLb0jTu11I0yz85JpyIP7nCWHosnJS8/pasua.jpg?width=650)
UMUHIMU WA KUPATA KATIBA MPYA ILIYOPO INA MIANYA YA RUSHWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-no.-1-768x512.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUIUNGA MKONO SERIKALI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA MATIBABU YA KIBINGWA HAPA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-situcg5PG4c/XvODa1XTiII/AAAAAAALvS0/QKaKdqekTvosbaJjjEBNJZKwC4dwQMc2QCLcBGAsYHQ/s640/Picha-no.-1-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akiwajulia hali wagonjwa wanaotibiwa katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakati wa ziara yake ya kikazi aliyofanya katika Taasisi hiyo leo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia huduma za matibu ya moyo zinazotolewa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-no.-2-1024x806.jpg)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel akimsikiliza Msimamizi wa wodi ya watoto Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iPt2JvyeIHk/U5HbSpOqK3I/AAAAAAAFoGo/kOothC2oCmg/s72-c/New+Picture.bmp)
Mafunzo kwa Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Itifaki na Huduma kwa Mteja
![](http://2.bp.blogspot.com/-iPt2JvyeIHk/U5HbSpOqK3I/AAAAAAAFoGo/kOothC2oCmg/s1600/New+Picture.bmp)
9 years ago
StarTV27 Nov
Serikali yatoa siku saba kwa Wafanya biashara Kuhamia Soko La Mwanjelwa
Serikali imetoa muda wa siku saba kwa Wafanyabiashara waliokuwa wapangaji wa Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya wakati soko hilo linaungua moto mwaka 2006 kuomba upya nafasi za kufanya biashara kwenye eneo hilo baada ya kukamilika kwa ujenzi wake.
Serikali imetoa agizo hilo kutokana na kusuasua kwa Wafanyabiashara hao kuomba nafasi hizo licha ya kupewa kipaumbele cha kwanza kati ya wananchi wote wanaohitaji maeneo ya kufanyia biashara katika soko hilo.
Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya limeungua...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s72-c/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA DKT.MARRY MWANJELWA ATEMBELEA NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI KYELA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s1600/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DdQ_-7NWH9A/U4Dm__AuMwI/AAAAAAACiBo/MkWxvfd7gb0/s1600/Dr.+Mwanjelwa+kabidhi.jpg)
11 years ago
MichuziMILLEN MAGESE AOMBA USHIRIKIANO SERIKALINI NA WANANCHI KWA UJUMLA
Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla. Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...