WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s72-c/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
Ofisa Huduma kwa Wateja mkoa wa Kigoma Emmanuel Matuba akizungumzia umuhimu wa kutumia mkandarasi aliyesajiliwa ili kuwekewa mtandao wa umeme kwenye nyumba zao wakati wa utoaji Elimu juu ya miradi ya REA
CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jJrP9XILtDE/XvWlxJY9JVI/AAAAAAAAAH8/nrRU5ggDCloYApAZ9fDBcxd-vsRbmkELgCLcBGAsYHQ/s72-c/afisa2.jpg)
WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii imewafikia wanakijiji wa vijiji vya Kigoma ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...
5 years ago
MichuziWALIMU IPARAMASA WAISHUKURU SERIKALI KUWAPELEKEA UMEME
Veronica Simba – Chato
Walimu wa Shule ya Msingi Tumaini iliyopo kijiji cha Imalabupina, Kata ya Iparamasa, wilayani Chato, Mkoa wa Geita, wameishukuru Serikali kwa kuunganisha umeme shuleni hapo wakisema nishati hiyo italeta mapinduzi makubwa ya taaluma.
Wametoa shukrani hizo Februari 24, 2020 baada ya Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani kuwasha rasmi umeme katika Shule hiyo.
Akieleza namna shule hiyo itakavyonufaika, Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule hiyo, Goodluck Mamele amesema uwepo wa...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Serikali yashusha gharama za kuunganisha umeme vijijini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-epx9dSPjA1g/XmXNJybNzAI/AAAAAAALiJg/ndlPofjYAzwtTWkepPUS54IE4MzLpFRuACLcBGAsYHQ/s72-c/a054d2ab-7527-431b-a18b-2c907dfe26b9.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA TTCL KWA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-epx9dSPjA1g/XmXNJybNzAI/AAAAAAALiJg/ndlPofjYAzwtTWkepPUS54IE4MzLpFRuACLcBGAsYHQ/s640/a054d2ab-7527-431b-a18b-2c907dfe26b9.jpg)
11 years ago
Mwananchi30 May
Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...
9 years ago
Dewji Blog06 Jan
Serikali yaitaka Spencon kumaliza kazi ya usambazaji umeme vijijini kwa muda sahihi
Msafara wa Naibu Waziri Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani ukikagua ujenzi wa kituo kipya cha mjini Singida cha kutawanya umeme kilovoti 400 wa gridi kutoka nchini Kenya na Tanzania. Kituo hicho kitasambaza umeme kutoka Singida kwenda mkoa wa Iringa na Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Dk.Medard Kalemani (wa kwanza kushoto mwenye miwani) akizungumza na maafisa kutoka ofisi na madini kanda ya kati mkoa wa Singida na wa wilaya ya Manyoni, kwenye ofisi ya Mkuu wa wa wilaya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5_rbGkqPk-8/XsKDZJqhOII/AAAAAAALqp8/r2s4vG0rVeAwDvjpYcyhkSwBirNZo4gmgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.png)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUANZISHA STAKABADHI GHALANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5_rbGkqPk-8/XsKDZJqhOII/AAAAAAALqp8/r2s4vG0rVeAwDvjpYcyhkSwBirNZo4gmgCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.png)
NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBO
Wananchi na wakulima wa mazao ya ufuta .soya ,choroko wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wanaishukuru serikali kwa kuanzisha mfumo wa mauzo kwa njia ya stakabadhi ghalani ambao unawanufaisha wakulima.
Wakiongea kwenye mnada wa kwanza, wa pili na watatu katika ghala la ushirika lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ulikokuwa unafanyika mnada huo ,wananchi na wakulima waliohudhuria mnada huo walisema serikali imelenga kuwanufaisha...