Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu
Wizara ya Nishati na Madini imetangaza kuwa umeme wa maji ndio nafuu zaidi kuliko umeme unaotokana na vyanzo vingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s72-c/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s400/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
VIDEO: Tazama ubora wa simu ya Huawei Y360 ambayo gharama yake ni nafuu kabisa
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
JK azindua nyumba za gharama nafuu
NA SOPHIA WAKATI, MKINGA
RAIS Jakaya Kikwete amefungua mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu wilayani Mkinga ujenzi ambao umegharimu sh. bilioni 1.4 hadi kukamilika.
Kikwete alifungua mradi huo juzi katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Rais alipongeza jitihada za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufanikisha mradi huo huku akiitaka halmashauri ya wilaya hiyo kufanya nalo mawasiliano ili kupata nyumba zitakazowezesha watumishi wake kupata makazi.
Alisema iwapo halmashauri itafanyia kazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjI*82EBJGBPZBUn*DCTdx1PD*qAkhlhuaJp8ibKU*VXmVhXyrRp5fM9av3yh6v*AYt1PrzCy6RIhcgznSPuaMQp/006.HYATT.jpg)
WATANZANIA WAENDELEA KUNUFAIKA NA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO
10 years ago
Mwananchi15 May
Wauguzi ni nguvu ya mabadiliko, ufanisi na huduma za gharama nafuu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-epx9dSPjA1g/XmXNJybNzAI/AAAAAAALiJg/ndlPofjYAzwtTWkepPUS54IE4MzLpFRuACLcBGAsYHQ/s72-c/a054d2ab-7527-431b-a18b-2c907dfe26b9.jpg)
SERIKALI YAIPONGEZA TTCL KWA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-epx9dSPjA1g/XmXNJybNzAI/AAAAAAALiJg/ndlPofjYAzwtTWkepPUS54IE4MzLpFRuACLcBGAsYHQ/s640/a054d2ab-7527-431b-a18b-2c907dfe26b9.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/222.jpg)
ZIARA YA RAIS KUFUNGUA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU MKUZO, SONGEA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/New-Picture-33.png)
LUKUVI AZINDUA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU ZINAZOJENGWA NA NHC WILAYANI MASASI
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Obi kuwekeza kwenye soko la smartphone zenye gharama nafuu Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Obi Mobiles, Afrika Mashariki na Kati na Afrika, Amit Rupchandani (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari )hawapo pichani) jijini Dar leo wakati wa utambulisho wa simu za aina ya smartphone zinazotengenezwa na Obi. Kushoto ni Mkurugenzi wa DESPEC Afrika, Farouk Jivani ambao ndio wasambazaji wakuu wa bidhaa hizo Tanzania na Afrika Mashariki na Kulia Mkuu wa kitengo cha masoko na mawasiliano wa Obi, Yusuf Khan.(Picha na Zainul Mzige).
Na Andrew...