Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obi kuwekeza kwenye soko la smartphone zenye gharama nafuu Tanzania

DSC_0248

Mkurugenzi Mtendaji wa Obi Mobiles, Afrika Mashariki na Kati na Afrika, Amit Rupchandani (katikati) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari )hawapo pichani) jijini Dar leo wakati wa utambulisho wa simu za aina ya smartphone zinazotengenezwa na Obi. Kushoto ni Mkurugenzi wa DESPEC Afrika, Farouk Jivani ambao ndio wasambazaji wakuu wa bidhaa hizo Tanzania na Afrika Mashariki na Kulia Mkuu wa kitengo cha masoko na mawasiliano wa Obi, Yusuf Khan.(Picha na Zainul Mzige).

Na Andrew...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Michuzi

Obi sets sights on Africa smartphone market; brand by former Apple CEO to launch in Tanzania in Q1 2015.

·         New venture led by former Apple CEO, former president of PepsiCo, and renowned tech investor John Sculley aims for rapid global expansion·         Following its successful launch in India and the Middle East, Obi Mobiles plans substantial investments in to the Tanzania smartphone market

·         Signs on renowned regional IT distributor DESPEC as exclusive channel partner in Tanzania and other African countries


Dar es Salaam, Tanzania: 19 January, 2015 – Obi Mobiles, the new...

 

10 years ago

Vijimambo

STANBIC TANZANIA YAISAIDIA PTA KUWEKEZA BILIONI 32 SOKO LA HISA DSM

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Stanbic Tanzania Ken Cockerill akiongea na wa habari kuhusiana na benki hiyo ilivyofanikisha Benki ya PTA kuwekeza amana zenye thamani ya shilingi 32.6bn kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam ambazo zitasaidia kuboresha miundo mbinu ya umeme nchini kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO).mkutano huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

JK azindua nyumba za gharama nafuu


NA SOPHIA WAKATI, MKINGA
RAIS Jakaya Kikwete amefungua mradi wa ujenzi wa nyumba za gharama nafuu wilayani Mkinga ujenzi ambao umegharimu sh. bilioni 1.4 hadi kukamilika.
Kikwete alifungua mradi huo juzi katika ziara yake ya kikazi mkoani humo.
Rais alipongeza jitihada za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kufanikisha mradi huo huku akiitaka halmashauri ya wilaya hiyo kufanya nalo mawasiliano ili kupata nyumba zitakazowezesha watumishi wake kupata makazi.
Alisema iwapo halmashauri itafanyia kazi...

 

10 years ago

Michuzi

WANAWAKE WATAKIWA KUJIUNGA TAASISI ZA FEDHA ZENYE MASHARTI NAFUU YA MIKOPO

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWANAWAKE wametakiwa kujiunga katika taasisi za fedha ambazo zinaainisha mikopo ya wajasiriamali hiyo itasaidia wanawake kujikwamua na umasikini.
Hayo ameyasema leo Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na Watoto,Sophia Simba wakati wa uzinduzi wa mpango Fanikisha Plus  wa wajasirimali unaondeshwa na benki ya Equity iliyofanyika leo katika ukumbi JB,Belmote jijini Dar es Salaam.
Sophia amesema wanawake umefika wakati kutumia fursa ambazo taasisi za fedha zenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu

Wizara ya Nishati na Madini imetangaza kuwa umeme wa maji ndio nafuu zaidi kuliko umeme unaotokana na vyanzo vingine.

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAENDELEA KUNUFAIKA NA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kibiashara wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini hotuba aliyokuwa akitoa Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza (hayupopichani) juu ya mwenendo wa…

 

10 years ago

Mwananchi

Wauguzi ni nguvu ya mabadiliko, ufanisi na huduma za gharama nafuu

Siku ya Wauguzi Duniani huadhimishwa Mei 12, kila mwaka.Mwaka huu siku hii iliadhimishwa Jumanne wiki hii.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAIPONGEZA TTCL KWA GHARAMA NAFUU ZA MAWASILIANO

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano uliojengwa na Vodacom kwa ruzuku ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kijiji cha Idodi mkoani Iringa. Kulia kwake ni Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote, Justina Mashiba na kushoto kwake ni Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani