Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WALIMU IPARAMASA WAISHUKURU SERIKALI KUWAPELEKEA UMEME





Veronica Simba – Chato

Walimu wa Shule ya Msingi Tumaini iliyopo kijiji cha Imalabupina, Kata ya Iparamasa, wilayani Chato, Mkoa wa Geita, wameishukuru Serikali kwa kuunganisha umeme shuleni hapo wakisema nishati hiyo italeta mapinduzi makubwa ya taaluma.

Wametoa shukrani hizo Februari 24, 2020 baada ya Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani kuwasha rasmi umeme katika Shule hiyo.

Akieleza namna shule hiyo itakavyonufaika, Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule hiyo, Goodluck Mamele amesema uwepo wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU

Na mwandshi wetu, KigomaSHIRIKA la umeme Tanesco kupitia idara ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma juu ya kuchangakia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii  imewafikia wanakijiji wa  vijiji vya Kigoma  ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...

 

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU

Ofisa Huduma kwa Wateja mkoa wa Kigoma Emmanuel Matuba akizungumzia umuhimu wa kutumia mkandarasi aliyesajiliwa ili kuwekewa mtandao wa umeme kwenye nyumba zao wakati wa utoaji Elimu juu ya miradi ya REA

CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI


~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
 Na Mwandishi wetu Mihambwe 
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya. 
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUANZISHA STAKABADHI GHALANI.


NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBO

Wananchi na wakulima wa mazao ya ufuta .soya ,choroko wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wanaishukuru serikali kwa kuanzisha mfumo wa mauzo kwa njia ya stakabadhi ghalani ambao unawanufaisha wakulima.

Wakiongea kwenye mnada wa kwanza, wa pili na watatu katika ghala la ushirika lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ulikokuwa unafanyika mnada huo ,wananchi na wakulima waliohudhuria mnada huo walisema serikali imelenga kuwanufaisha...

 

5 years ago

Michuzi

WATANZANIA 119 KUTOKA DUBAI WAREJEA NCHINI, WAISHUKURU SERIKALI

Serikali ya Tanzania imewarejesha nchini watanzania 119 ambao walikuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) kufuatia kuzuiwa kwa safari za ndege kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosabishwa na virus vya corona (COVID-19).
Ndege ya fly Dubai imewarejesha watanzania hao waliokuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) tangu 25 Machi 2020 Serikali ya Falme za Kiarabu ilipotoa zuio la kuingia na kutoka kwa ndege. 
Ndege hiyo imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Rorya waishukuru Serikali ya awamu ya tano kuwapatia msaada

Wakazi wa vijiji vya Baraki na Kenyamsana wilayani Rorya mkoani Mara waishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwapatia msaada wa mahindi tani elfu 25 baada ya kukumbwa na maafa ya mvua. Mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali ilisababisha mazao yao kuchukuliwa na maji na nyumba zaidi ya 170 kuezuliwa paa. Wananchi zaidi ya1,080 wa kijiji cha baraki na kenyamsana wilayani rorya wanao hitaji msaada wa chakula zaidi ya tani 50 za mahindi ili kupunguza tatizo la upungufu wa chakula,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Uongozi wa StarTimes waishukuru Serikali kwa ushirikiano mzuri inaowapa

PIX1

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkaribisha ofisini kwake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Star Times Tanzania Bi. Zuhura Hanif leo jijini Dar es Salaam.

PIX2a

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina yake na uongozi wa Star Times waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO...

 

10 years ago

Michuzi

Wananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame

Na. Mwandishi Maalum
Wananchi wa Wilayani  Same katika  kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara waishukuru Serikali kulifungua tena Soka la mitumba mjini moshi

Wafanyabiashara ndogo ndogo wa soko la mitumba mjini Moshi mkoani Kilimanjaro maarufu kama soko la Memorial wameshukuru hatua ya Serikali ya kufungua tena milango ya soko hilo iliyokuwa imefungwa kwa takribani mwaka mmoja sasa na kuzorotesha biashara.

Kufungwa kwa mageti hayo kumeelezwa kuzorotesha kasi ya biashara sokoni hapo lakini pia kusababisha adha kubwa kwa wafanyabiashara na wateja wanaofika sokoni hapo

Malango hayo yalifungwa takribani mwaka mmoja uliopita sababu zikitajwa kuwa ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani