WALIMU IPARAMASA WAISHUKURU SERIKALI KUWAPELEKEA UMEME
Veronica Simba – Chato
Walimu wa Shule ya Msingi Tumaini iliyopo kijiji cha Imalabupina, Kata ya Iparamasa, wilayani Chato, Mkoa wa Geita, wameishukuru Serikali kwa kuunganisha umeme shuleni hapo wakisema nishati hiyo italeta mapinduzi makubwa ya taaluma.
Wametoa shukrani hizo Februari 24, 2020 baada ya Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani kuwasha rasmi umeme katika Shule hiyo.
Akieleza namna shule hiyo itakavyonufaika, Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule hiyo, Goodluck Mamele amesema uwepo wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jJrP9XILtDE/XvWlxJY9JVI/AAAAAAAAAH8/nrRU5ggDCloYApAZ9fDBcxd-vsRbmkELgCLcBGAsYHQ/s72-c/afisa2.jpg)
WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii imewafikia wanakijiji wa vijiji vya Kigoma ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s72-c/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s400/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5_rbGkqPk-8/XsKDZJqhOII/AAAAAAALqp8/r2s4vG0rVeAwDvjpYcyhkSwBirNZo4gmgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.png)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUANZISHA STAKABADHI GHALANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5_rbGkqPk-8/XsKDZJqhOII/AAAAAAALqp8/r2s4vG0rVeAwDvjpYcyhkSwBirNZo4gmgCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.png)
NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBO
Wananchi na wakulima wa mazao ya ufuta .soya ,choroko wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wanaishukuru serikali kwa kuanzisha mfumo wa mauzo kwa njia ya stakabadhi ghalani ambao unawanufaisha wakulima.
Wakiongea kwenye mnada wa kwanza, wa pili na watatu katika ghala la ushirika lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ulikokuwa unafanyika mnada huo ,wananchi na wakulima waliohudhuria mnada huo walisema serikali imelenga kuwanufaisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q2btdjLrdV0/XsbQrEbfZqI/AAAAAAAAHME/zhLL1CoBjf4WodHtdmKjgFhn_n5w7FKvACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B18.35.21.jpeg)
WATANZANIA 119 KUTOKA DUBAI WAREJEA NCHINI, WAISHUKURU SERIKALI
Ndege ya fly Dubai imewarejesha watanzania hao waliokuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) tangu 25 Machi 2020 Serikali ya Falme za Kiarabu ilipotoa zuio la kuingia na kutoka kwa ndege.
Ndege hiyo imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...
9 years ago
StarTV13 Nov
Wakazi Rorya waishukuru Serikali ya awamu ya tano kuwapatia msaada
Wakazi wa vijiji vya Baraki na Kenyamsana wilayani Rorya mkoani Mara waishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwapatia msaada wa mahindi tani elfu 25 baada ya kukumbwa na maafa ya mvua. Mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali ilisababisha mazao yao kuchukuliwa na maji na nyumba zaidi ya 170 kuezuliwa paa. Wananchi zaidi ya1,080 wa kijiji cha baraki na kenyamsana wilayani rorya wanao hitaji msaada wa chakula zaidi ya tani 50 za mahindi ili kupunguza tatizo la upungufu wa chakula,...
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Uongozi wa StarTimes waishukuru Serikali kwa ushirikiano mzuri inaowapa
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akimkaribisha ofisini kwake Makamu wa Rais wa Kampuni ya Star Times Tanzania Bi. Zuhura Hanif leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akielezea jambo wakati wa mazungumzo baina yake na uongozi wa Star Times waliomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania Bw. LEO...
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
9 years ago
StarTV08 Oct
Wafanyabiashara waishukuru Serikali kulifungua tena Soka la mitumba mjini moshi
Wafanyabiashara ndogo ndogo wa soko la mitumba mjini Moshi mkoani Kilimanjaro maarufu kama soko la Memorial wameshukuru hatua ya Serikali ya kufungua tena milango ya soko hilo iliyokuwa imefungwa kwa takribani mwaka mmoja sasa na kuzorotesha biashara.
Kufungwa kwa mageti hayo kumeelezwa kuzorotesha kasi ya biashara sokoni hapo lakini pia kusababisha adha kubwa kwa wafanyabiashara na wateja wanaofika sokoni hapo
Malango hayo yalifungwa takribani mwaka mmoja uliopita sababu zikitajwa kuwa ni...