Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WATANZANIA 119 KUTOKA DUBAI WAREJEA NCHINI, WAISHUKURU SERIKALI

Serikali ya Tanzania imewarejesha nchini watanzania 119 ambao walikuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) kufuatia kuzuiwa kwa safari za ndege kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosabishwa na virus vya corona (COVID-19).
Ndege ya fly Dubai imewarejesha watanzania hao waliokuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) tangu 25 Machi 2020 Serikali ya Falme za Kiarabu ilipotoa zuio la kuingia na kutoka kwa ndege. 
Ndege hiyo imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWAREJESHA WATANZANIA 119 WALIOKWAMA FALME ZA KIARABU

T​akribani Watanzania 119 waliokuwa wamekwama katika nchi za Falme za Kiarabu wamerejea Tanzania na kutoa shukrani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na jitihada za kuwarejesha nyumbani.
Watanzania hao 119 waliokuwa wamekwama katika nchi za Falme za Kiarabu baada ya mlipuko wa ugonjwa wa COVID 19 na kusababisha mashirika mbalimbali ya ndege kufunga safari zake wamewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana kwa ndege ya shirika...

 

10 years ago

Michuzi

watanzania 18 warejea nyumbani kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita

Balozi wa Tanzania nchini Oman Mh. Ali Ahmed Saleh (aliyebeba mtoto) akiwa na baadhi ya kundi la Watanzania 18 waliookolewa kutoka Yemen ambako hakukaliki kutokana na vita. Hapa wananchi hao  wapo  katika uwanja wa ndege wa Muscat wakiwa njiani kurejeshwa nyumbani.Sehemu ya wananchi hao wakijiandaa kuondoka Muscat, Oman, kurejea nyumbani

 

5 years ago

CCM Blog

WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI

  Serikali yarejesha kwa awamu ya pili Watanzania 192 waliokuwa wamekwama nchini India kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19
Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [ATCL] pamoja na Diaspora wa Tanzania nchini India kwa mara nyingine wamefanikisha safari ya pili ya kuwarejesha nchini Watanzania 192 waliokuwa wamekwama katika miji mbalimbali nchini India. 
Watanzania hao walikwama kutokana na zuio la kuingia na kutoka kwa ndege za Kimataifa...

 

5 years ago

CCM Blog

WATANZANIA 57 WALIOKUWA WAMEKWANA AFRIKA KUSINI KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI


Mmoja wa Watanzania waliokuwa wamekwama Afrika Kusini kutokana na nchi hiyo kufunga mipaka yake kutokana na Corona, Sunderland the only one akizungumza muda mfupi kabla ya kuondoka nchini humo, leo. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini humo Meja Jenerali Mstaafu Gaudence Milanzi AFRIKA KUSINIWatanzania 57 waliokuwa wamekwama nchini Afrika Kusini kutokana na janga la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 19 baada ya nchi hiyo kufunga mipaka yake hatimae wamerejea...

 

5 years ago

Michuzi

AWAMU YA PILI YA WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA UGONJWA WA COVID-19 WAREJEA NCHINI



Baadhi ya watanzania waliokuwa wamekwama  India kutokana na ugonjwa wa COVID-19 wakiwa ndani ya ndege maalum ya Air Tanzania wakisubiri kuondoka kurejea Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati Shivaji Jijini Mumbai tarehe 30 Mei 2020. Serikali ya India ilisitisha huduma ya kuingia na kutoka kwa ndege za kimataifa ikiwa ni moja ya mkakati wa kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19.
Sehemu nyingine ya watanzania waliokuwa wamekwama nchini India wakiwa ndani ya ndege maalum ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mwenyekiti wa Shirika la Nyumba Serikali ya Dubai afanya ziara nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya akisalimiana na Mkurugenzi wa Nyumba kutoka Dubai Mhe. Ali Rashid Ahmed Lootah walipokutana kwa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Kampuni inayojishughulisha na masuala ya Nyumba ya OYO. Bw. Lootah yupo nchini kwa ziara ya siku mbili ya kuangalia fursa za uwekezaji katika Sekta ya Nyumba na Makazi.Balozi Mdogo wa Tanzania, Dubai Bw. Omar Mjenga (katikati) akimtambulisha...

 

5 years ago

CCM Blog

BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA 14 WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA 12 WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA


Na Mwandishi Maalumu

 Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya  Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania 14 ambao...

 

5 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: BALOZI MILANZI ASIMAMIA USAFIRISHWAJI WA WATANZANIA WALIOKWAMA AFRIKA KUSINI KWA LOCKDOWN, WAREJEA NCHINI PAMOJA NA RAIA WA NCHI HIO WANAOFANYA KAZI TANZANIA

Na Mwandishi Maalumu

 Balozi wa Tanzania nchini Afrka Kusini Meja Jenerali (Mst) Gaudence Milanzi Jumatatu Mei 25, 2020 amesimamia zoezi la repatriation (usafirishaji) wa dharura) ya  Watanzania pamoja na raia kadhaa wa nchi hiyo waliokwama kutokana na Lockdown na kusitishwa safari za ndege inayoendelea huko, kutoka Johannesburg kuja Dar es salaam.
Taarifa kutoka ubalozi wa Tanzania nchini humo zinasema kwamba Balozi Milanzi aliratibu na kusimamia zoezi hilo ambapo Watanzania hao walikwama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani