SERIKALI YAWAREJESHA WATANZANIA 119 WALIOKWAMA FALME ZA KIARABU
Takribani Watanzania 119 waliokuwa wamekwama katika nchi za Falme za Kiarabu wamerejea Tanzania na kutoa shukrani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na jitihada za kuwarejesha nyumbani.
Watanzania hao 119 waliokuwa wamekwama katika nchi za Falme za Kiarabu baada ya mlipuko wa ugonjwa wa COVID 19 na kusababisha mashirika mbalimbali ya ndege kufunga safari zake wamewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana kwa ndege ya shirika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Lango la biashara Falme za Kiarabu, ni fursa ya Watanzania kukuza uchumi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q2btdjLrdV0/XsbQrEbfZqI/AAAAAAAAHME/zhLL1CoBjf4WodHtdmKjgFhn_n5w7FKvACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-21%2Bat%2B18.35.21.jpeg)
WATANZANIA 119 KUTOKA DUBAI WAREJEA NCHINI, WAISHUKURU SERIKALI
Ndege ya fly Dubai imewarejesha watanzania hao waliokuwa wamekwama Abu Dhabi (Dubai) tangu 25 Machi 2020 Serikali ya Falme za Kiarabu ilipotoa zuio la kuingia na kutoka kwa ndege.
Ndege hiyo imewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA)...
10 years ago
BBCSwahili14 May
Obama na uhusiano wa Falme za Kiarabu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1IAsEjcXwpU/UxoF7v2H8VI/AAAAAAAFR1E/wV9qmQnzMF4/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WAZIRI WA ELIMU AKUTANA NA BALOZI WA FALME ZA KIARABU NCHINI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-1IAsEjcXwpU/UxoF7v2H8VI/AAAAAAAFR1E/wV9qmQnzMF4/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_iEJ1cYOFgA/UxoF8kTVP2I/AAAAAAAFR1M/wZLfJ7uu35E/s1600/unnamed+(2).jpg)
11 years ago
MichuziCLOUDS MEDIA YAPATA LESENI YA URUSHAJI WA MATANGAZO KATIKA NCHI ZA FALME ZA KIARABU.
Clouds TV kimataifa ni mwendelezo wa televisheni maarufu sana kwa vijana nchini Tanzania, hata hivyo sehemu kubwa ya maudhui yatakayokuwemo kwenye Clouds TV...
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s72-c/New+Picture+(1).png)
UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) WASHEREHEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50 MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OkO89A-gHUg/U2H87gyVtfI/AAAAAAAFeVw/qyf_u_Z7sA8/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8dXcNemU5i4/U2H88G12_-I/AAAAAAAFeV4/bUF1HlLI4Uc/s1600/New+Picture+(3).png)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjD1YsSjxM/XtPlvL4HS-I/AAAAAAAC6d4/fVniuw6mMX8hUInc5A1vWTo8gYFjMlhrACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA CORONA WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrjD1YsSjxM/XtPlvL4HS-I/AAAAAAAC6d4/fVniuw6mMX8hUInc5A1vWTo8gYFjMlhrACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [ATCL] pamoja na Diaspora wa Tanzania nchini India kwa mara nyingine wamefanikisha safari ya pili ya kuwarejesha nchini Watanzania 192 waliokuwa wamekwama katika miji mbalimbali nchini India.
Watanzania hao walikwama kutokana na zuio la kuingia na kutoka kwa ndege za Kimataifa...
5 years ago
MichuziAWAMU YA PILI YA WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA UGONJWA WA COVID-19 WAREJEA NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pI1TkZMOtMw/XtPIoqVsrqI/AAAAAAAA-rQ/tmrsIzeCI0wEGzTKe8wLFODw9yy_Vui2ACEwYBhgLKs0DAL1Ocqy81nejMPh7kx9UvKxGYcivFjwKDxI-tLawv-qNkhy4q-vZ6YW03QwIvJvMzN5CHyggN_NBEijbWsluWo-Zw9ccfbJbK34mVpUTQpFaEnSqbFAdnRbMPlfx0_TZ-Ah_mgUQg7U-ljsBlAPf59vAIpI9n-B_0fKj7fMDSzNO-43DM1GSYwgE6JWRcMueVCtOzoGC5IvklO92jgR0c30u4IFLcvYvUuRmPPkmTZfibpx0LPzYf0LtvbIwj_pYMfiDgobxPN37CQrDEwaL5-Hoi0a23Ku4IT4dBhStn9awPKe4mk98fdO1-z3jFeBRiiZLTt0NITbRH4-r_BcJtWULFxmwrxHwwyop0uB1MyiNTYTBwuAkFozaaL42H2gKnRyW1dLiFkfA7zz0AzTS6ibx3pdPD_lrm_6dIR1UdBOzFbj1LsodAjUWJoJAECOU_bzr-WyvIxRTtJwVa8iclUxRQdGGw-hx6WQzwIiXA8X4BpPsJ_0FPr95t5fJKREVBarqC1vk2xaPRU5-mFySDB9S6KR2ei28Lx4brcb6o_NAKie7f42F_7iElAUNj8w9ImU_1UR3PP6P3OPzvdXpBaR0EeklmOFi7xs5QP4wlZbP9gU/s640/home%2B1.jpg)
Baadhi ya watanzania waliokuwa wamekwama India kutokana na ugonjwa wa COVID-19 wakiwa ndani ya ndege maalum ya Air Tanzania wakisubiri kuondoka kurejea Tanzania katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Chhatrapati Shivaji Jijini Mumbai tarehe 30 Mei 2020. Serikali ya India ilisitisha huduma ya kuingia na kutoka kwa ndege za kimataifa ikiwa ni moja ya mkakati wa kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa COVID-19.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Wr_aLh4hwoE/XtPIvjN51cI/AAAAAAAA-rU/e7v7y_-a8BIIXTPVq-j0dQ_LW79_OJ_GgCLcBGAsYHQ/s640/home2.jpg)
Sehemu nyingine ya watanzania waliokuwa wamekwama nchini India wakiwa ndani ya ndege maalum ya...