CLOUDS MEDIA YAPATA LESENI YA URUSHAJI WA MATANGAZO KATIKA NCHI ZA FALME ZA KIARABU.
Kampuni ya Clouds Media International leo imetangaza kuwa imepewa leseni ya kurusha matangazo katika nchi za umoja wa falme za kiarabu (UAE). Akielezea kuhusu leseni hiyo Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Bwana Joseph Kusaga, amesema sasa kituo cha Clouds TV kimataifa kitakuwa kikishuhudiwa na watu wa mataifa mbalimbali.
Clouds TV kimataifa ni mwendelezo wa televisheni maarufu sana kwa vijana nchini Tanzania, hata hivyo sehemu kubwa ya maudhui yatakayokuwemo kwenye Clouds TV...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Oct
Makamu wa rais Dkt. Bilal ahudhuria kongamano la biashara la kimataifa kwa nchi za Afrika jijini Dubai, falme za kiarabu
Mfanyabiashara mwenye ukwasi mkubwa Afrika, Bw. Aliko Dangote katika mazungumzo na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuhusu uwekezaji wake katika kiwanda cha simenti mkoani Mtwara. Dangote alisema kazi ya ujenzi inakwenda kama ilivyopangwa na kwamba kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kabisa kwa uzalishaji simenti katika ukanda wa Afrika Mashariki. (Picha na OMR).
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s72-c/New+Picture+(1).png)
UBALOZI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) WASHEREHEKEA SHEREHE ZA MIAKA 50 MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-J87Z9CrjtlA/U2H82HIF-MI/AAAAAAAFeVE/6rDQ0jqOt6A/s1600/New+Picture+(1).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OkO89A-gHUg/U2H87gyVtfI/AAAAAAAFeVw/qyf_u_Z7sA8/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8dXcNemU5i4/U2H88G12_-I/AAAAAAAFeV4/bUF1HlLI4Uc/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
BBCSwahili14 May
Obama na uhusiano wa Falme za Kiarabu
5 years ago
MichuziSERIKALI YAWAREJESHA WATANZANIA 119 WALIOKWAMA FALME ZA KIARABU
Watanzania hao 119 waliokuwa wamekwama katika nchi za Falme za Kiarabu baada ya mlipuko wa ugonjwa wa COVID 19 na kusababisha mashirika mbalimbali ya ndege kufunga safari zake wamewasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere majira ya saa nane mchana kwa ndege ya shirika...
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Lango la biashara Falme za Kiarabu, ni fursa ya Watanzania kukuza uchumi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1IAsEjcXwpU/UxoF7v2H8VI/AAAAAAAFR1E/wV9qmQnzMF4/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WAZIRI WA ELIMU AKUTANA NA BALOZI WA FALME ZA KIARABU NCHINI LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-1IAsEjcXwpU/UxoF7v2H8VI/AAAAAAAFR1E/wV9qmQnzMF4/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_iEJ1cYOFgA/UxoF8kTVP2I/AAAAAAAFR1M/wZLfJ7uu35E/s1600/unnamed+(2).jpg)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
11 years ago
Mwananchi25 Apr
TBC yapata gari la kisasa la matangazo