Wananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Na. Mwandishi Maalum
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VOsyHruJQKI/VAAUNvl1y_I/AAAAAAAGQ6c/KzamLE_VukM/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Wataalam Ngazi ya Kata kutumika kupunguza Athari za Maafa ya Ukame
Akiongea wakati wa Mafunzo juu ya Utekelezaji wa Mradi huo kwa Wataalam wa Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Hedaru, Makanya na Vunta, Wilayani Same,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hBpBaO3PrHU/U_w1mMqqU4I/AAAAAAAGCZ8/Bqo9ANhjK0A/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PgbVVRrJJvQ/U_5RBP1iSkI/AAAAAAAGE0A/PfBgqJ5NK00/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
10 years ago
MichuziKISHAPU YAFANIKIWA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME
10 years ago
MichuziMIL. 207 ZATUMIKA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME KISHAPU
Mradi huo umetekelezwa kwa mafanikio katika kata 3 za Mwamalasa, Masanga na Langana, ambapo vikundi vya maendeleo kumi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-daKOt2hadpU/XqvJx2P4nTI/AAAAAAALovU/rpsTZHrtxf80D2aa0ln91qmPVtP3G570wCLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1588275537666.jpg)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI UJENZI ZAHANATI
~ Kuwaondolea kero ya afya
~ Waridhishwa na ujenzi
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Wananchi wa Kijiji cha Miuta kata ya Miuta wamemshukuru Rais Magufuli na Serikali yake kuwajengea Zahanati ya Miuta ambayo inaenda Kuwaondolea kero ya kupata huduma ya afya.
Wananchi hao ambao awali wameridhishwa na kasi na kiwango cha ujenzi wa Zahanati hiyo wameomba Zahanati hiyo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5_rbGkqPk-8/XsKDZJqhOII/AAAAAAALqp8/r2s4vG0rVeAwDvjpYcyhkSwBirNZo4gmgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.png)
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUANZISHA STAKABADHI GHALANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-5_rbGkqPk-8/XsKDZJqhOII/AAAAAAALqp8/r2s4vG0rVeAwDvjpYcyhkSwBirNZo4gmgCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.png)
NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBO
Wananchi na wakulima wa mazao ya ufuta .soya ,choroko wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wanaishukuru serikali kwa kuanzisha mfumo wa mauzo kwa njia ya stakabadhi ghalani ambao unawanufaisha wakulima.
Wakiongea kwenye mnada wa kwanza, wa pili na watatu katika ghala la ushirika lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ulikokuwa unafanyika mnada huo ,wananchi na wakulima waliohudhuria mnada huo walisema serikali imelenga kuwanufaisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2Jhx8l-1L1E/Xm2-F73IsMI/AAAAAAALjsk/aCqIdWSGq_QCuckT4BegeSwtJsBTBXmHACLcBGAsYHQ/s72-c/a3d9931f-b021-490e-ba1f-4e3e9397d96c.jpg)
WAZIRI WA MADINI ALITAKA SHIRIKA LA MAENDELEO LA TAIFA (NDC) KUVITAMBUA VIPAJI NA UWEZO WAANZILISHI WA VIWANDA ILI KUWAJENGEA UWEZO
Biteko ameyasema hayo alipotembelea kiwanda kidogo cha kulainisha chuma kilichopo katika kata ya Lubonde wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kinachomilikiwa na Bw. Reuben Mtitu (Mzee Kisangani) na kuona uwezo wake katika...