Wataalam Ngazi ya Kata kutumika kupunguza Athari za Maafa ya Ukame
![](http://2.bp.blogspot.com/-VOsyHruJQKI/VAAUNvl1y_I/AAAAAAAGQ6c/KzamLE_VukM/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa imesema itawatumia Wataalam waliopo katika Ngazi ya Kata katika Mradi wa kuzijengea uwezo jamii wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame. Kauli mbiu ya Mradi huo ni “Athari za Ukame Zinapunguzika, Jamii ikielimishwa.”
Akiongea wakati wa Mafunzo juu ya Utekelezaji wa Mradi huo kwa Wataalam wa Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Hedaru, Makanya na Vunta, Wilayani Same,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hBpBaO3PrHU/U_w1mMqqU4I/AAAAAAAGCZ8/Bqo9ANhjK0A/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PgbVVRrJJvQ/U_5RBP1iSkI/AAAAAAAGE0A/PfBgqJ5NK00/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
10 years ago
MichuziKISHAPU YAFANIKIWA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME
10 years ago
MichuziMIL. 207 ZATUMIKA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME KISHAPU
Mradi huo umetekelezwa kwa mafanikio katika kata 3 za Mwamalasa, Masanga na Langana, ambapo vikundi vya maendeleo kumi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200307_093907_752.jpg)
DC UBUNGO ATEMBELEA KATA ZA KIMARA NA SARANGA KUONA ATHARI NA KUWAPA POLE WANANCHI KWA MAAFA YA MVUA YALIYOWAPATA
![](https://1.bp.blogspot.com/-fGS1rujof6U/XmNFuy83TKI/AAAAAAACIQU/VHYpQ9_L5DM0lCsbmI9ujXQ-rQQM_sqTACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200307_093907_752.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori ametembelea Kata za Kimara na Saranga ili kuona athari na kuwapa pole wananchi kutokana maafa yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo ya Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam, juzi.
Mkuu wa Wilaya aliongozana na viongozi mbalimbali akiwemo Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Diana Nkarage.
DC Makori aliwaambia wananchi wa Mtaa wa Golani Kata ya Kimara kuwa amefika kwao ili kujuliana hali na kuwapa pole wale wote...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s72-c/P6-2.jpg)
KAMATI YA USIMAMIZI MAAFA KILOMBERO YATAKIWA KUFANYA TATHMINI YA ATHARI ZA MAAFA YA MAFURIKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-30L0XdpbSqg/XneOu9jVFgI/AAAAAAALkvk/NFBm7AjY66A_1RQ114aMsSPmDO2n35tvgCLcBGAsYHQ/s640/P6-2.jpg)
Kufuatia Kaya 250 katika kata ya Msolwa Stesheni katika kijiji cha Nyange Wilayani Kilombero...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Kishapu bila Maafa ya Ukame inawezekana - Mutagurwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s1600/unnamed%2B(56).jpg)