KISHAPU YAFANIKIWA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME
Mkazi wa kijiji cha Masanga wilayani Same, Magreth William akiwaangalia mbuzi wake aliowapata kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia mradi wa Kupunguza Athari za Ukame unaofadhiliwa na UNICEF, tarehe 2, Juni 2015.
Mkaguzi Hesabu za Serikali, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu Hesabu za Serikali nchini, (kushoto), Jacob Ndaki akimsikiliza Mkulima wa mtama, kijijini Masanga wilayani Kishapu, Magreth William (kulia ) wakati wa ufuatiliaji wa utekelezaji mradi wa Kupunguza Athari za Ukame unaoratibiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMIL. 207 ZATUMIKA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME KISHAPU
Mradi huo umetekelezwa kwa mafanikio katika kata 3 za Mwamalasa, Masanga na Langana, ambapo vikundi vya maendeleo kumi...
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VOsyHruJQKI/VAAUNvl1y_I/AAAAAAAGQ6c/KzamLE_VukM/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Wataalam Ngazi ya Kata kutumika kupunguza Athari za Maafa ya Ukame
Akiongea wakati wa Mafunzo juu ya Utekelezaji wa Mradi huo kwa Wataalam wa Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Hedaru, Makanya na Vunta, Wilayani Same,...
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hBpBaO3PrHU/U_w1mMqqU4I/AAAAAAAGCZ8/Bqo9ANhjK0A/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PgbVVRrJJvQ/U_5RBP1iSkI/AAAAAAAGE0A/PfBgqJ5NK00/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Kishapu bila Maafa ya Ukame inawezekana - Mutagurwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4RC4MMdBU8k/U4gniqXrGcI/AAAAAAAFmcY/S8DsQkNmlP8/s72-c/unnamed+(29).jpg)
Tanzania yafanikiwa kufanikisha lengo la kupunguza vifo vya watoto - JK
![](http://2.bp.blogspot.com/-4RC4MMdBU8k/U4gniqXrGcI/AAAAAAAFmcY/S8DsQkNmlP8/s1600/unnamed+(29).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nd3LTJ7vXro/U4gnitQfoMI/AAAAAAAFmcU/qYEAWBssCG4/s1600/unnamed+(31).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s72-c/img_0532.jpg)
Tanzania Yafanikiwa Kupunguza Uingizaji wa Dawa za Kulevya Nchini kwa 90%.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JCM-2Ls66n8/XvZBKJ9OxII/AAAAAAALvnQ/KR0ZgmP2VvcRT54WUvrL47ZIltQq-ildQCLcBGAsYHQ/s400/img_0532.jpg)
Tanzania imefanikiwa kupunguza uingizaji wa dawa za kulevya kwa asilimia 90 kufuatia jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali za kupunguza tatizo la dawa za kulevya nchini.
Akizungumza leo jijini Dodoma, katika Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi ya Dawa za Kulevya, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenista Mhagama alisema kuwa tatizo la dawa za kulevya katika jamii ni suala...