NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Regina Kikuli akiongozana na Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya wakati wa kufuatilia Utekelezaji wa Mradi wa kupunguza Athari za Maafa ya Ukame kijijini Masanga , wilayani Kishapu Shinyanga, tarehe 5 Julai, 2015, Mradi huo unafadhiliwa na Benki ya Dunia kupitia UNICEF.
Baadhi ya wanakikundi cha Mkombozi kata ya Masanga wilayani Kishapu Shinyanga, wakiwa na mbuzi waliowapata kutoka Idara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAANZA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-ikFcEjI5nUw/U_w1lwjd6JI/AAAAAAAGCZw/1VaKlL6fEL0/s1600/unnamed%2B(82).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hBpBaO3PrHU/U_w1mMqqU4I/AAAAAAAGCZ8/Bqo9ANhjK0A/s1600/unnamed%2B(83).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PgbVVRrJJvQ/U_5RBP1iSkI/AAAAAAAGE0A/PfBgqJ5NK00/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
MichuziKISHAPU YAFANIKIWA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME
10 years ago
MichuziMIL. 207 ZATUMIKA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME KISHAPU
Mradi huo umetekelezwa kwa mafanikio katika kata 3 za Mwamalasa, Masanga na Langana, ambapo vikundi vya maendeleo kumi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU KAILIMA AKAGUA MAENDELEO YA MRADI WA UJENZI WA JENGO LA UHAMIAJI MAKAO MAKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sWFYkLLiutI/Xl-xz6PAi0I/AAAAAAALg_0/lp_JswZBdUol-pDkQp8mqrqF6VjrjudnACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-gtoA1qqpvr0/Xl-x1LsgIBI/AAAAAAALg_4/mUGygevraUAs_Y6K8UAyDYDbmyiiBW6gACLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VOsyHruJQKI/VAAUNvl1y_I/AAAAAAAGQ6c/KzamLE_VukM/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Wataalam Ngazi ya Kata kutumika kupunguza Athari za Maafa ya Ukame
Akiongea wakati wa Mafunzo juu ya Utekelezaji wa Mradi huo kwa Wataalam wa Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Hedaru, Makanya na Vunta, Wilayani Same,...
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
11 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais atembelea shule ya Sekondari Lumala,Wilayani Ilemela Mkoa wa Mwanza
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rDNJkJzQ0SY/U0Wak5LrGgI/AAAAAAACefA/FamKeM9_pQc/s72-c/5.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA APOKELEWA KWA KISHINDO WILAYANI KASULU LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI NA KUPOKEA WANACHAMA WAPYA 500
![](http://4.bp.blogspot.com/-rDNJkJzQ0SY/U0Wak5LrGgI/AAAAAAACefA/FamKeM9_pQc/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1m4kjEOXqpY/U0WanSiGz9I/AAAAAAACefI/zaEo6SqZysY/s1600/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o60cnmOkW-Y/U0WaB2AS_jI/AAAAAAACeeI/EGkTpc601S0/s1600/17.jpg)