Kishapu bila Maafa ya Ukame inawezekana - Mutagurwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu, Bi.Jane Mutagurwa akiwasisitiza Wataalam katika Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Mwamalasa, Masanga na Langana Wilayani Kishapu wakati akifungua mafunzo ya jinsi ya kutekeleza Mradi Wa Kuijengea Jamii Uwezo wa kupunguza Athari Za Maafa katika kata zao, mafunzo hayo yanaratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu wa Maafa kwa Tarehe 1-5 Septemba, 2014. (Kulia) ni Mratibu Maafa Ofisi ya Waziri ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU OFISI YA WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME WILAYANI KISHAPU
10 years ago
MichuziKISHAPU YAFANIKIWA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME
10 years ago
MichuziMIL. 207 ZATUMIKA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME KISHAPU
Mradi huo umetekelezwa kwa mafanikio katika kata 3 za Mwamalasa, Masanga na Langana, ambapo vikundi vya maendeleo kumi...
10 years ago
MichuziKILIMANJARO WAPATA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA YA UKAME
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VOsyHruJQKI/VAAUNvl1y_I/AAAAAAAGQ6c/KzamLE_VukM/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Wataalam Ngazi ya Kata kutumika kupunguza Athari za Maafa ya Ukame
Akiongea wakati wa Mafunzo juu ya Utekelezaji wa Mradi huo kwa Wataalam wa Sekta ya Kilimo, Mifugo, Afya, Elimu na Utawala wa kata ya Hedaru, Makanya na Vunta, Wilayani Same,...
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ogyhjqYXabk/XrAuqUEitYI/AAAAAAAAJSc/mWlwy5Ys3FwAbjgoe2qKJjptgzRGSU7hQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0075.jpg)
MONDULI BILA CORONA INAWEZEKANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ogyhjqYXabk/XrAuqUEitYI/AAAAAAAAJSc/mWlwy5Ys3FwAbjgoe2qKJjptgzRGSU7hQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0075.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Monduli Idd Kimanta akipokea Ndoo Mia mbili na vitakasa mikono lita 140 kutoka kwa kiongozi wa baraza la kinamama wa kifugaji kwenye halfa iliyofanyika kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo leo wilayani humo picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AxKafSohjwk/XrAuqXGI-8I/AAAAAAAAJSg/oATPhgJlQDs7x6z4Qp9ZDHTcO67c0YV3QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0076.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Ulaya aliposhiriki halfa ya kukabidhiwa vifaa vya mapambano ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 leo wilayani humo picha na Ahmed Mahmoud Arusha...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Inawezekana kukuza kipaji bila kubebwa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
OFISI YA WAZIRI MKUU YAENDELEA KUTOA MAFUNZO YA KUPUNGUZA ATHARI ZA MAAFA YA UKAME KATIKA NGAZI YA KATA, WILAYANI SAME
![](http://1.bp.blogspot.com/-jXk_L4y1yHU/U_5RBZfzX8I/AAAAAAAGEzg/6SIKVK8vvp8/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PgbVVRrJJvQ/U_5RBP1iSkI/AAAAAAAGE0A/PfBgqJ5NK00/s1600/unnamed%2B(58).jpg)