Inawezekana kukuza kipaji bila kubebwa
Wakati baadhi ya wasanii chipukizi na hasa katika tasnia ya Bongofleva hapa nchini wakilalamika kuwa msanii huyo hawezi kukuza kipaji chake bila kubebwa na wasanii wakubwa,wapo ambao wanapingana na nadharia hiyo.na bila kupata ‘kiki’ kutoka kwa wasanii wakubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ogyhjqYXabk/XrAuqUEitYI/AAAAAAAAJSc/mWlwy5Ys3FwAbjgoe2qKJjptgzRGSU7hQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0075.jpg)
MONDULI BILA CORONA INAWEZEKANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ogyhjqYXabk/XrAuqUEitYI/AAAAAAAAJSc/mWlwy5Ys3FwAbjgoe2qKJjptgzRGSU7hQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0075.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Monduli Idd Kimanta akipokea Ndoo Mia mbili na vitakasa mikono lita 140 kutoka kwa kiongozi wa baraza la kinamama wa kifugaji kwenye halfa iliyofanyika kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo leo wilayani humo picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AxKafSohjwk/XrAuqXGI-8I/AAAAAAAAJSg/oATPhgJlQDs7x6z4Qp9ZDHTcO67c0YV3QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0076.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Ulaya aliposhiriki halfa ya kukabidhiwa vifaa vya mapambano ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 leo wilayani humo picha na Ahmed Mahmoud Arusha...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Kishapu bila Maafa ya Ukame inawezekana - Mutagurwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s72-c/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani
![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s400/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Kwa tathmini yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...
9 years ago
Bongo511 Sep
Shetta akanusha kubebwa kwenye kolabo anazofanya
Hitmaker wa Shikorobo, Shetta amekanusha kubebwa na wasanii anaofanya nao kolabo na kwamba nyimbo anazofanya mwenyewe hazifanyi vizuri. Shetta ameiambia Bongo5 kuwa nyimbo zake nyingi alizowashirikisha wasanii wengine yeye ndio amekuwa akifanya kazi kubwa. “Mimi naamini ngoma kama Shikorobo nimeimba chorus mwenyewe na verse mbili mwenyewe,” amesema. “Ningekuwa nimemtoa pia ningefanya vizuri. Kcee amekuwepo kwa […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6qCCi3JSFIt4*Au9SoSh0xK9ipYe*2Lt1PvPGjqIFXo0Gy4W9v1zr2SCeqJSwg-hqePmETm32PSqudYtdsA4ZSr/ESHA.jpg)
ESHA BUHETI APANGUA TUHUMA ZA KUBEBWA ZIFF
BAADA ya mwanadafada Esha Buheti kutoka Bongo Movies kunyakua tuzo ya Mwigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Zanzibar Film Festival ‘Ziff’, iliibuka minong’ono kuwa hakustahili lakini mwenyewe ameibuka na kukanusha minong’ono hiyo. Mkali wa filamu Bongo Esha Buheti Akizungumza na paparazi wetu akiwa ameshikilia tuzo yake mkononi, Esha alisema hata yeye alikuwa surprised na tuzo hiyo lakini anaamini...
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Ali Karume, Mwanadiplomasia anayetegemea kubebwa na historia
Alizaliwa katika mazingira ya kawaida ya Wazanzibari katika miaka ya 50 kwenye familia ya baharia Abeid Amani Karume aliyekuwa mume wa Fatma Ali Daud (Fatma Karume).
10 years ago
Mwananchi25 Nov
Mikopo ya elimu inawezekana
Moja ya kero kuu zinazoikabili sekta ya elimu nchini ni kuwapo kwa idadi kubwa ya wanafunzi wa elimu ya juu wanaokosa mikopo. Wanaobahatika kupata nao wanapewa chini ya kima halisi wanachohitaji pia fedha zenyewe baadhi ya nyakati zinachelewa kuwafikia.
11 years ago
GPLMBEYA CITY, ASHANTI WATOKA BILA BILA
Wachezaji wa Mbeya City (kulia) na Ashanti wakiwania mpira huku mvua kali ikiendelea kunyesha kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Mbande nje kidogo ya Jiji la Dar. Steven Mazanda (8) na Deogratius Julius (mwenye mpira) wachezaji wa Mbeya City wakiwania mpira na mchezani wa Ashanti.…
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Theluthi mbili inawezekana — Ngeleja
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati Na. 9 ya Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema kuna uwezekano mkubwa wa kupata theluthi mbili ya Bara na Zanzibar kuelekea mfumo wa serikali mbili....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania