Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani
![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s72-c/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Na Paul R.K Mashauri
Kwa tathmini yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OPmAKd4u6jA/XvEQV4IhiJI/AAAAAAAC9OA/FCzusmUbFM0DSeRcF9A8QaEE9udWgPFwQCLcBGAsYHQ/s72-c/sabapic.jpg)
UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-OPmAKd4u6jA/XvEQV4IhiJI/AAAAAAAC9OA/FCzusmUbFM0DSeRcF9A8QaEE9udWgPFwQCLcBGAsYHQ/s640/sabapic.jpg)
Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ogyhjqYXabk/XrAuqUEitYI/AAAAAAAAJSc/mWlwy5Ys3FwAbjgoe2qKJjptgzRGSU7hQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0075.jpg)
MONDULI BILA CORONA INAWEZEKANA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ogyhjqYXabk/XrAuqUEitYI/AAAAAAAAJSc/mWlwy5Ys3FwAbjgoe2qKJjptgzRGSU7hQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0075.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Monduli Idd Kimanta akipokea Ndoo Mia mbili na vitakasa mikono lita 140 kutoka kwa kiongozi wa baraza la kinamama wa kifugaji kwenye halfa iliyofanyika kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo leo wilayani humo picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AxKafSohjwk/XrAuqXGI-8I/AAAAAAAAJSg/oATPhgJlQDs7x6z4Qp9ZDHTcO67c0YV3QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0076.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Ulaya aliposhiriki halfa ya kukabidhiwa vifaa vya mapambano ya kujikinga na maambukizi ya ugonjwa wa homa Kali ya mapafu Covid 19 leo wilayani humo picha na Ahmed Mahmoud Arusha...
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Inawezekana kukuza kipaji bila kubebwa
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Kishapu bila Maafa ya Ukame inawezekana - Mutagurwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-LLsj8AJk0ss/VAafIx69kBI/AAAAAAAGcLI/nsUckrKru8A/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Je inawezekana kuwa na kiswahili sanifu?
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Inawezekana kuwa na thamani katika jamii
KATIKA maisha, vijana wengi tunatamani kuwa na kiu ya mafanikio au kuleta mabadiliko pale tulipo. Lakini ni wachache ambao wameweza kufanikisha malengo yao na kuleta mabadiliko chanya katika jamii. Japokuwa...
10 years ago
Vijimambo17 Oct
EBOLA NI JANGA LA DUNIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/270/amz/worldservice/live/assets/images/2014/08/12/140812090353_spanish_priest_304x171_.jpg)
Kwa kuongezeka kwa idadi ya vifo na ugonjwa kuendelea kusambaa, harakati za kutafuta tiba ya Ebola zinaendelea.
Wataalam tayari wanajua mengi kuhusu virusi hivi na namna vinavyoshambulia, lakini kupambana navyo kwa kutumia dawa ni jambo jipya.
Tangu Ebola ilivyobainika mwaka 1976, kila mlipuko umekuwa ukidhibitiwa kwa masharti ya hali ya juu kuhusu usafi-kutengwa kwa wagonjwa...
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Janga la mihadarati lakera dunia
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
WHO kuamua Ebola janga la dunia