EBOLA NI JANGA LA DUNIA
Kasisi wa Hispania ambaye aliambukizwa virusi vya Ebola nchini Liberia akisafirishwa kwenda kupata matibabu nchi mwao.
Kwa kuongezeka kwa idadi ya vifo na ugonjwa kuendelea kusambaa, harakati za kutafuta tiba ya Ebola zinaendelea.
Wataalam tayari wanajua mengi kuhusu virusi hivi na namna vinavyoshambulia, lakini kupambana navyo kwa kutumia dawa ni jambo jipya.
Tangu Ebola ilivyobainika mwaka 1976, kila mlipuko umekuwa ukidhibitiwa kwa masharti ya hali ya juu kuhusu usafi-kutengwa kwa wagonjwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
WHO kuamua Ebola janga la dunia
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Janga la mihadarati lakera dunia
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
W.H.O:Ebola inaweza kuwa janga baya
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ukosefu wa kazi kwa vijana ni janga la dunia
Mkurugenzi Mtendaji wa Umoja wa Vilabu vya Waandishi wa Habari (UTPC), Abubakar Karsan akionyesha gazeti la “Tuwasiliane” linalochapishwa na UTPC na kusambazwa kwa wadau na maeneo mbalimbali ya jijini Mwanza kwa Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyetembelea makao ya ofisi hizo kwa ajili ya mazungumzo na kuboresha ushirikiano baina ya Umoja wa Mataifa Umoja huo wa vilabu vya waandishi wa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/DSC_04991.jpg)
UKOSEFU WA KAZI KWA VIJANA NI JANGA LA DUNIA
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Corona Virus:Dunia lazima ijiandae kwa janga, WHO yasema
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s72-c/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani
![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s400/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Kwa tathmini yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Benki ya dunia yasaidia Ebola
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Dunia yalaumiwa kutodhibiti Ebola