W.H.O:Ebola inaweza kuwa janga baya
shirika la afya duniani lasema kuwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika unaweza kusababisha janga baya iwapo hautazuiwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako
Kinadada wengi wanavaa viatu virefu kwa mazoea au wakati mwingine kwa kuona mwenzake amevaa na amependeza.
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Hotuba ya Mwenyekiti wa CCM inaweza kuwa ni hofu ya uchaguzi Mkuu
Februari Mosi, CCM ilisherehekea miaka 38 tangu kaunzishwa kwake.
Hiki ni kipindi kirefu na kama ni umri wa mtu, huyu si mtoto tena, bali ni mtu mzima anayepaswa kuwajibika katika maisha yake na maisha ya wenzake katika jamii anamoishi
10 years ago
Vijimambo17 Oct
EBOLA NI JANGA LA DUNIA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/270/amz/worldservice/live/assets/images/2014/08/12/140812090353_spanish_priest_304x171_.jpg)
Kwa kuongezeka kwa idadi ya vifo na ugonjwa kuendelea kusambaa, harakati za kutafuta tiba ya Ebola zinaendelea.
Wataalam tayari wanajua mengi kuhusu virusi hivi na namna vinavyoshambulia, lakini kupambana navyo kwa kutumia dawa ni jambo jipya.
Tangu Ebola ilivyobainika mwaka 1976, kila mlipuko umekuwa ukidhibitiwa kwa masharti ya hali ya juu kuhusu usafi-kutengwa kwa wagonjwa...
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
WHO kuamua Ebola janga la dunia
Shirika la afya ulimwenguni wanakutana Geneva Uswis kuamua iwapo Ebola kuwa janga la barani Afrika na dharura ya dunia.
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
WHO yatangaza coronavirus kuwa janga la kimataifa
Shirika la Afya duniani limeutangaza mlipuko wa virusi vya corona kuwa ni janga la kimataifa huku mlipuko huo ukiendelea kusambaa katika mataifa mbalimbali duniani
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga
>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s72-c/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani
![](https://1.bp.blogspot.com/-6X5qd6HDmDg/Xo4vJVwxyMI/AAAAAAAEGqE/K9YDhnPXiNQlIVD5qOKG8vEkigOlCoJbQCLcBGAsYHQ/s400/70ea1231-6985-4c09-801d-e73b458da653.jpg)
Kwa tathmini yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OPmAKd4u6jA/XvEQV4IhiJI/AAAAAAAC9OA/FCzusmUbFM0DSeRcF9A8QaEE9udWgPFwQCLcBGAsYHQ/s72-c/sabapic.jpg)
UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-OPmAKd4u6jA/XvEQV4IhiJI/AAAAAAAC9OA/FCzusmUbFM0DSeRcF9A8QaEE9udWgPFwQCLcBGAsYHQ/s640/sabapic.jpg)
Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?
Amri ya kutotoka nje iliyowekwa na nchi tofauti ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona imewalazimisha watu kukaa nyumbani na hotelini pamoja na maeneo mengine ya kula kufungwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania