Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


W.H.O:Ebola inaweza kuwa janga baya

shirika la afya duniani lasema kuwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika unaweza kusababisha janga baya iwapo hautazuiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako

Kinadada wengi wanavaa viatu virefu kwa mazoea au wakati mwingine kwa kuona mwenzake amevaa na amependeza.

 

10 years ago

Mwananchi

Hotuba ya Mwenyekiti wa CCM inaweza kuwa ni hofu ya uchaguzi Mkuu

Februari Mosi, CCM ilisherehekea miaka 38 tangu kaunzishwa kwake. Hiki ni kipindi kirefu na kama ni umri wa mtu, huyu si mtoto tena, bali ni mtu mzima anayepaswa kuwajibika katika maisha yake na maisha ya wenzake katika jamii anamoishi

 

10 years ago

Vijimambo

EBOLA NI JANGA LA DUNIA

Kasisi wa Hispania ambaye aliambukizwa virusi vya Ebola nchini Liberia akisafirishwa kwenda kupata matibabu nchi mwao.
Kwa kuongezeka kwa idadi ya vifo na ugonjwa kuendelea kusambaa, harakati za kutafuta tiba ya Ebola zinaendelea.

Wataalam tayari wanajua mengi kuhusu virusi hivi na namna vinavyoshambulia, lakini kupambana navyo kwa kutumia dawa ni jambo jipya.

Tangu Ebola ilivyobainika mwaka 1976, kila mlipuko umekuwa ukidhibitiwa kwa masharti ya hali ya juu kuhusu usafi-kutengwa kwa wagonjwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO kuamua Ebola janga la dunia

Shirika la afya ulimwenguni wanakutana Geneva Uswis kuamua iwapo Ebola kuwa janga la barani Afrika na dharura ya dunia.

 

5 years ago

BBCSwahili

WHO yatangaza coronavirus kuwa janga la kimataifa

Shirika la Afya duniani limeutangaza mlipuko wa virusi vya corona kuwa ni janga la kimataifa huku mlipuko huo ukiendelea kusambaa katika mataifa mbalimbali duniani

 

10 years ago

Mwananchi

Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga

>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.

 

5 years ago

Michuzi

Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani

Na Paul R.K Mashauri 
Kwa tathmini  yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...

 

5 years ago

Michuzi

UNESCO imeonyesha kuwa asilimia 40 ya nchi maskini zaidi haziwasaidii wanafunzi walio katika hatari wakati huu wa janga la COVID-19

Chini ya asilimia 10 ya nchi zina sheria zinazosaidia kuhakikisha ujumuishaji kamili katika elimu, kwa mujibu wa Ripoti ya Dunia ya Ufuatiliaji wa Elimu 2020: Ujumuishaji na Elimu – Tukisema wote, Basi ni Wote, kutoka UNESCO.
Ripoti hii inatoa uchanganuzi wa kina kuhusu vipengele msingi vya utengaji wa wanafunzi katika mifumo ya elimu ulimwenguni vikiwemo mahali walimotoka, utambulisho na uwezo (yaani, jinsia, umri, mahali walimotoka, umaskini, ulemavu, kabila, asili, lugha, dini, hali ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kwanini janga la corona limefanya panya kuwa wakali zaidi?

Amri ya kutotoka nje iliyowekwa na nchi tofauti ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona imewalazimisha watu kukaa nyumbani na hotelini pamoja na maeneo mengine ya kula kufungwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani