Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga

>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

SADC TUIMARISHE UMOJA NA MSHIKAMANO WETU WAKATI HUU KUENEA KWA JANGA LA VIRUSI VYA CORONA-PROF.KABUDI


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba kabudi (Mb) (wa kwanza kushoto) akiongea na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam
Baadhi ya mawaziri pamoja na maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC uliofanyika kwa njia ya (Video Conference) leo Jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya maafisa waandamizi/ makatibu wakuu wakifuatilia mkutano wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawaloga wabunge wetu?

KWA takriban wiki mbili sasa nipo mkoani Dodoma nikihudhuria vikao vya Bunge la Bajeti linaloendelea hivi sasa, kubwa zaidi linalonivutia ni majadiliano yanayoendelea baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wetu na maaoni ya wananchi

UKISIKILIZA jinsi mjadala unavyokwenda kwenye Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, utagundua kwamba wabunge wetu hawana mawasiliano na wananchi waliowatuma bungeni. Wabunge wanawasilisha maoni yao binafsi badala ya kuwasilisha maoni...

 

5 years ago

Michuzi

WABUNGE WATOA YA MOYONI JANGA LA CORONA, PROF. TIBAIJUKA ATAKA TIBA MBADALA ITUMIKE

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

WABUNGE wameendelea kutoa maoni na ushauri kwa Serikali kuhusu hatua inaweza kuzichukua kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19(Corona) huku Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna  Tibajuka akitaka tiba mbadala nayo itumike kwenye kukabiliana na ugonjwa huo.

Wakizungumza Bungeni Mjini Dodoma kwa nyakati tofauti leo Aprili 3 mwaka 2020, wabunge ambao wamepata nafasi ya kuchangia hotuba ya Waziri Mkuu, wametumia nafasi hiyo kutoa maoni yao kuhusu janga la...

 

11 years ago

BBCSwahili

W.H.O:Ebola inaweza kuwa janga baya

shirika la afya duniani lasema kuwa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika unaweza kusababisha janga baya iwapo hautazuiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

WHO yatangaza coronavirus kuwa janga la kimataifa

Shirika la Afya duniani limeutangaza mlipuko wa virusi vya corona kuwa ni janga la kimataifa huku mlipuko huo ukiendelea kusambaa katika mataifa mbalimbali duniani

 

10 years ago

Mwananchi

Ni kosa lenye heri au tuendelee kuwalaumu wabunge wetu?

Sote tuna vibanzi. Kila mtu kwa nafasi yake. Tusiwanyoshee wabunge kidole wala kuwalaumu. Tunapenda sana kulaumu.

 

5 years ago

Michuzi

Katikati ya janga la COVID-19, Dunia imejifunza kuwa inawezekana kutuajiri bila kututoa nyumbani

Na Paul R.K Mashauri 
Kwa tathmini  yangu ya haraka, kwa sasa takribani 80% ya rafiki zangu katika "corporate world" wanafanyia kazi nyumbani. Miaka michache iliyopita hata kabla ya COVID-19 takwimu za New York Times zilikuwa zinaonyesha kwamba idadi ya watu wanaofanya kazi zao nje ya ofisi (nyumbani, katika migahawa nk) kwa lugha ya kitaalam "remote workers" ilikuwa ni 3% tu. Lakini idadi hiyo ilikuwa imekuwa kwa ongezeko la 80%. Sina takwimu za sasa baada ya janga la COVID-19 lakini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magenius wetu Dodoma wawe na ujasiri wa kuwa wakweli

HAKUNA muungano kamili duniani ambao hauna kero au upungufu wake. Haijalishi muungano wa nchi ulianzaje, mwisho wa siku ni wananchi wa nchi hiyo ambao watapaswa kuamua kama muungano wao utadumu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani