Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni kosa lenye heri au tuendelee kuwalaumu wabunge wetu?

Sote tuna vibanzi. Kila mtu kwa nafasi yake. Tusiwanyoshee wabunge kidole wala kuwalaumu. Tunapenda sana kulaumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Heri ya Kinana kuliko wakuu wetu wa mikoa, wilaya

>Mambo anayofanya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana katika ziara zake yana mengi ya kutufunza Watanzania hasa viongozi.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Kila la heri wabunge Bunge la 10

BUNGE la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linamaliza muda wake wa kikatiba leo kwa kuvunjwa na Rais Jakaya Kikwete mjini Dodoma baada ya kudumu kwa takriban miaka mitano.

Leo itakuwa siku ya mwisho kwa wabunge kadhaa kuwapo mjini Dodoma wakiwa na wadhifa huo wa uwakilishi wa wananchi, kwani wote sasa wanalazimika kwenda majimboni kutetea nafasi hizo.

Ni kipindi kigumu ndani ya mioyo ya wengi lakini kwa wanaofahamu kwamba cheo ni dhamana, hiki ni kipindi muhimu kwao kujipima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wetu na maaoni ya wananchi

UKISIKILIZA jinsi mjadala unavyokwenda kwenye Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, utagundua kwamba wabunge wetu hawana mawasiliano na wananchi waliowatuma bungeni. Wabunge wanawasilisha maoni yao binafsi badala ya kuwasilisha maoni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawaloga wabunge wetu?

KWA takriban wiki mbili sasa nipo mkoani Dodoma nikihudhuria vikao vya Bunge la Bajeti linaloendelea hivi sasa, kubwa zaidi linalonivutia ni majadiliano yanayoendelea baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya...

 

11 years ago

Vijimambo

Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)

Huu wimbo unahusu amani, upendo, uhuru na pia kujivunia na kusherekea utaifa wetu
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)

 

10 years ago

Mwananchi

Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga

>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda  Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com au www.reverbnation.com/ngomaafricabandjumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania tuendelee kufichua ukatili huu

MUNGU amempa pumziko la amani mtoto Nasra Rashid (4) aliyefariki dunia Juni Mosi mwaka huu akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam na kuzikwa katika makaburi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani