Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)

Huu wimbo unahusu amani, upendo, uhuru na pia kujivunia na kusherekea utaifa wetu
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Bongo5

New Music: Heri Muziki — Watu

Download au kusikiliza wimbo mpya wa Heri Muziki uitwao ‘Watu’. Wimbo umeandikwa na kutayarishwa na Mswaki.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Heri Muziki – Cheche

cheche artwork

Msanii Heri Muziki ameachia wimbo mpya unaitwa “Cheche”, Wimbo huu umeandaliwa na Producer Mswaki pamoja na kuandika pia.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Michuzi

9 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Muziki wetu unachuja haraka

Nimejiuliza kwa muda mrefu bila ya kupata mwafaka nini kinachoua kwa haraka muziki wa Kitanzania kwa sasa.

 

11 years ago

Michuzi

MUZIKI UPO KWENYE FAMILIA YETU-MWANAMUZIKI WA INJILI MILKA KAKETE

309253_4514172497095_415944777_nMwanamuziki wa Injili aliyetokea kwenye familia ya kidini Milka Kakete anasema alianza kuujua na kuufahamu muziki kwa kina tangu akiwa mdogo, kwani familia yake ni ya kikristo na amepata malezi ya kuwa karibu na kanisa siku zote. Milka ambaye ni mkazi wa Canada na familia yake akiwa ni mama wa watoto watatu na familia yake anaeleza kuwa anaipenda sana familia yake na anajaribu kuweka sawa maisha ya familia na uimbaji wa Injili. Hivi karibuni alitembelea idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya...

 

9 years ago

Bongo5

Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania

beka

Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.

beka

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.

“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni

Msemaji wa kundi la Weusi Nickson Simon a.k.a Nikki Wa Pili ni miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la Fiesta 2014 kwenye viwanja vya Leaders, Dar Jumamosi October 18 akiwa na Joh Makini, Lord Eyez na G-Nako. Nikki ambaye pia hakupitwa na show za wasanii wengine alikuwa na machache ya kusema kwa kile alichokiona kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani