Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing "Nakukumbukaga" by HERI MUZIKI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)

Huu wimbo unahusu amani, upendo, uhuru na pia kujivunia na kusherekea utaifa wetu
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)

 

9 years ago

Bongo5

Music: Heri Muziki – Cheche

cheche artwork

Msanii Heri Muziki ameachia wimbo mpya unaitwa “Cheche”, Wimbo huu umeandaliwa na Producer Mswaki pamoja na kuandika pia.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Heri Muziki — Watu

Download au kusikiliza wimbo mpya wa Heri Muziki uitwao ‘Watu’. Wimbo umeandikwa na kutayarishwa na Mswaki.

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda  Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com au www.reverbnation.com/ngomaafricabandjumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

9 years ago

Bongo5

Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania

beka

Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.

beka

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.

“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni

Msemaji wa kundi la Weusi Nickson Simon a.k.a Nikki Wa Pili ni miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la Fiesta 2014 kwenye viwanja vya Leaders, Dar Jumamosi October 18 akiwa na Joh Makini, Lord Eyez na G-Nako. Nikki ambaye pia hakupitwa na show za wasanii wengine alikuwa na machache ya kusema kwa kile alichokiona kwenye […]

 

10 years ago

Vijimambo

HERI YA PASAKA

Dear Friends,
My prayers and Easter greetings to you all.Easter is God's Promise which His Son came to fulfill,A Promise of Eternal life for all who seek His will,Season of the Budding trees, the lily in its glory,The greening hills, the daffodils, the Holy Easter Story;Easter is the joy of Spring, God's gift and triumph, too;Reminding us of Jesus' Love, in which we are born a new.United in the Spirit of Prayer at EasterYours in the Risen Lord. Fr. Evod Shao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani