Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania
Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.
“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Dec
Music: Beka Ibrozama – Come Back
![Beka](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Beka-300x194.jpg)
Mwana muziki wa bongo fleva Beka Ibrozama ameachia wimbo mpya unaitwa “Come Back”
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo518 Nov
Video: Beka Ibrozama – Come Back
![beka ibrazama](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/beka-ibrazama-300x194.jpg)
Video mpya ya msanii Beka Ibrozama wimbo unaitwa “Come Back”. Video imeongozwa na Mr.Mahumu
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Dar Bongo Massive: Wakali wanaotamani kukuza muziki wa asili
10 years ago
Bongo520 Oct
Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-k2oXEa-oY1c/VE0ZCLyffKI/AAAAAAADLYw/buq2JVuRvaI/s72-c/Heri_Promo_1%5B1%5D.jpg)
Heri Muziki-Nchi Yetu (Muziki Wetu)
Artist Name: Heri MuzikiSong Name: Nchi Yetu (Muziki wetu)Produced by: MswakiSongwriters: Adam Kaps, KT, Heri Muziki & Mswaki
Download Link :http://hu.lk/949infc12pvk
attached are1. Nchi Yetu (Muziki wetu)2. Song cover (artwork)3. Promo pic4. Nchi Yetu (Muziki wetu)
![](http://4.bp.blogspot.com/-k2oXEa-oY1c/VE0ZCLyffKI/AAAAAAADLYw/buq2JVuRvaI/s1600/Heri_Promo_1%5B1%5D.jpg)
9 years ago
Bongo513 Oct
Nyota imenifundisha biashara ya muziki — Msechu
10 years ago
CloudsFM19 Feb
Jux: Nafanya muziki biashara sifanyi kujifurahisha
Staa wa Bongo Fleva,Juma Jux amefunguka zile hisia za mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kuwa msanii huyo anafanya muziki usio wa kiushindani kama wasanii wengine na kwamba anaonekana kama anafanya tu kwa vile ana kipaji au kujifurahisha.
Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa mashabiki wanaona kama hana presha na muziki huo kama wasanii wengine lakini hisia za mashabiki hao ni tofauti na kwani yeye ni kama wasanii wengine hufikiria sana kuhusu muziki wake.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
KIAMUANGANA MATETA ‘VERCKYS’: Gwiji lililomudu muziki na biashara DRC
HISTORIA ya muziki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), haiwezi kukamilika iwapo halitatajwa jina la mwanamuziki Kiamuangana Mateta maarufu ‘Verckys’. Kiamuangana, alijijengea umaarufu katika muziki akiwa mpulizaji mashuhuri wa...
11 years ago
Bongo525 Jul
Audio: Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi