Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota imenifundisha biashara ya muziki — Msechu

Peter Msechu amesema wimbo wake, Nyota umemfanya aelewe na kuamua kufanya muziki wa kibiashara tofauti na alivyokuwa akifanya huko nyuma. Msechu ameiambia Bongo5 kuwa mwanzo alikuja hajaelewa siri ya mchezo. “Nyota ndio imenifanya nielewe maana biashara ya muziki,” amesema. “Sasa hivi nitakuwa nazingatia kila kitu kwenye muziki wangu. Muziki ni biashara kama biashara nyingine, sio […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Msechu: Nyota ikidoda naacha muziki

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Peter Msechu amesema kama ngoma yake mpya ya ‘Nyota’ isipofanya vizuri katika soko la muziki huo, ataachana na maswala ya muziki. Katika ngoma...

 

11 years ago

Bongo5

Msechu kuacha muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ hautofanya vizuri

Baada ya ngoma zake nyingi kutofanya vizuri, aliyewahi kuiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Tusker Project Fame, Peter Msechu amedai ataacha kabisa kufanya muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ aliomshirikisha Amini utafanya vibaya. Msechu amedai kuwa Nyota ni wimbo mkali ambao kama usipofanya vizuri basi atakubali kuwa huenda muziki si kipaji chake. “NYOTA by PETER MSECHU […]

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Msechu: Ukubwa wa Nyota unanipa wakati mgumu kuja na ngoma ya kuizidi

Peter Msechu amesema kwa jinsi wimbo wake Nyota ulivyofanya vizuri, anashindwa kupata wimbo mwingune utakaoweza kufanya vizuri zaidi yake. Msechu ameiambia Bongo5 jana kuwa licha ya kuwa tayari ana nyimbo nyingi amerekodi, anaona hazina nguvu kama Nyota iliyotangulia. “Sasa nipo kwenye maandalizi ya video mpya pia nina kazi nyingi ambazo zipo tayari lakini napata wakati […]

 

9 years ago

Bongo5

Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania

beka

Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.

beka

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.

“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...

 

10 years ago

Bongo5

Peter Msechu: Kauli kuhusiana na kuacha muziki ilitaka kunigharimu

Peter Msechu amesema kauli yake ya hivi karibuni kuwa kama wimbo wake aliomshirikisha Amini ‘Nyota’ usingefanya vizuri angeacha muziki, ilitaka kumponza kwakuwa alisema kwa utani tu na watu wakaichukulia kwa uzito mkubwa. Msechu ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kutoa kauli hiyo alipokea simu nyingi kutoka kwa watu waliotaka kujua kama kweli amedhamiria. “Unajua niliongea vile […]

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki

Kwa wafuatiliaji wa miondoko ya R&B, Luther Vandross siyo jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri aliokuwa nao nyota huyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani