Nyota imenifundisha biashara ya muziki — Msechu
Peter Msechu amesema wimbo wake, Nyota umemfanya aelewe na kuamua kufanya muziki wa kibiashara tofauti na alivyokuwa akifanya huko nyuma. Msechu ameiambia Bongo5 kuwa mwanzo alikuja hajaelewa siri ya mchezo. “Nyota ndio imenifanya nielewe maana biashara ya muziki,” amesema. “Sasa hivi nitakuwa nazingatia kila kitu kwenye muziki wangu. Muziki ni biashara kama biashara nyingine, sio […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Msechu: Nyota ikidoda naacha muziki
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Peter Msechu amesema kama ngoma yake mpya ya ‘Nyota’ isipofanya vizuri katika soko la muziki huo, ataachana na maswala ya muziki. Katika ngoma...
11 years ago
Bongo510 Jul
Msechu kuacha muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ hautofanya vizuri
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/cDaUzbWdTcY/default.jpg)
11 years ago
Michuzi16 Jul
10 years ago
GPL11 Dec
9 years ago
Bongo510 Oct
Msechu: Ukubwa wa Nyota unanipa wakati mgumu kuja na ngoma ya kuizidi
9 years ago
Bongo514 Dec
Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania
![beka](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/beka-300x194.jpg)
Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.
“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...
10 years ago
Bongo519 Sep
Peter Msechu: Kauli kuhusiana na kuacha muziki ilitaka kunigharimu
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki