Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki

Kwa wafuatiliaji wa miondoko ya R&B, Luther Vandross siyo jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri aliokuwa nao nyota huyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Msechu kuacha muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ hautofanya vizuri

Baada ya ngoma zake nyingi kutofanya vizuri, aliyewahi kuiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Tusker Project Fame, Peter Msechu amedai ataacha kabisa kufanya muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ aliomshirikisha Amini utafanya vibaya. Msechu amedai kuwa Nyota ni wimbo mkali ambao kama usipofanya vizuri basi atakubali kuwa huenda muziki si kipaji chake. “NYOTA by PETER MSECHU […]

 

11 years ago

Mwananchi

Mambo yanayochangia nyota wa Afrika kuacha soka mapema

Ni ukweli ulio wazi kuwa wanasoka wengi wa Afrika wamekuwa wakiacha kucheza soka mapema huku wengi wao wakionekana bado wana nguvu za kutosha kutoa mchango kwa klabu zao na mataifa yao.

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi atangaza kuacha muziki!

hussein_machozi

Hussein Machozi ametangaza uamuzi wake wa kuacha kufanya muziki kutokana na kuona kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kupitia muziki kwa muda mrefu .

hussein

Machozi ambaye jina lake halisi ni Hussein Rashid ni msanii wa Bongo fleva wa muda mrefu ambaye amewahi kutengeneza hits kadhaa ikiwemo ‘Kwaajili Yako, ‘Utaipenda’, Full Shangwe, na zingine.

Hussein ametangaza uamuzi huo kupitia Planet Bongo ya East Africa radio.

“Kubwa ambalo nataka niwasimulie Watanzania ambalo ninalo leo hii kwamba very...

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA ATANGAZA KUACHA MUZIKI, FILAMU

Na Gladness Mallya
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu anaswe katika mtego  wa kujiuza na makachero wa OFM ya Global Publishers, staa wa Bongo, Baby Madaha ametangaza kuachana na sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa amechoshwa na  maisha ya presha. Akistorisha na paparazi wetu juzikati jijini Dar es Salaam, Madaha alisema ishu ile imemsababishia matatizo makubwa ya kifamilia na hata kibiashara, hivyo kujutia mchezo...

 

10 years ago

Bongo5

Bwana Misosi akanusha taarifa za kuacha muziki

Hitmaker wa ‘Nitoke Vipi’, Bwana Misosi amekanusha taarifa kuwa ameacha muziki. Misosi ameiambia Bongo5 kuwa hajui nani aliyesambaza taarifa hizo ambazo nasi tuliziandika. “Unajua hizo habari hata mimi nimezisikia na nimekuwa nikipigiwa simu sana kuwa nimetangaza kuacha muziki,” amesema. “Hizo habari sio za kweli na sijui nani amezisambaza. Hapa sasa hivi navyoongea na wewe nipo […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msechu: Nyota ikidoda naacha muziki

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Peter Msechu amesema kama ngoma yake mpya ya ‘Nyota’ isipofanya vizuri katika soko la muziki huo, ataachana na maswala ya muziki. Katika ngoma...

 

10 years ago

Bongo5

Nyota imenifundisha biashara ya muziki — Msechu

Peter Msechu amesema wimbo wake, Nyota umemfanya aelewe na kuamua kufanya muziki wa kibiashara tofauti na alivyokuwa akifanya huko nyuma. Msechu ameiambia Bongo5 kuwa mwanzo alikuja hajaelewa siri ya mchezo. “Nyota ndio imenifanya nielewe maana biashara ya muziki,” amesema. “Sasa hivi nitakuwa nazingatia kila kitu kwenye muziki wangu. Muziki ni biashara kama biashara nyingine, sio […]

 

9 years ago

Bongo5

Lady Gaga alihofia ustaa ungemuua, alitaka kuacha muziki

lady_gaga-jpg

Lady Gaga aliwahi kuhofia kuwa ustaa wake ungemuua.

lady_gaga-jpg

Muimbaji huyo mwenye miaka 29 mwaka jana alifikiria kuachana na muziki kwasababu maisha aliyokuwa akiishi alihofia yangepelekea kupoteza maisha.

Akiongea na jarida la Billboard, muimbaji huyo alisema:

At the end of 2014, my stylist asked, ‘Do you even want to be a pop star anymore?’ I looked at him and I go, ‘You know, if I could just stop this train right now, today, I would. I just can’t. But, I need to get off now because I’m going to...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani