Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki
Kwa wafuatiliaji wa miondoko ya R&B, Luther Vandross siyo jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri aliokuwa nao nyota huyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Jul
Msechu kuacha muziki iwapo wimbo wake mpya ‘Nyota’ hautofanya vizuri
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Mambo yanayochangia nyota wa Afrika kuacha soka mapema
9 years ago
Bongo509 Dec
Hussein Machozi atangaza kuacha muziki!

Hussein Machozi ametangaza uamuzi wake wa kuacha kufanya muziki kutokana na kuona kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kupitia muziki kwa muda mrefu .
Machozi ambaye jina lake halisi ni Hussein Rashid ni msanii wa Bongo fleva wa muda mrefu ambaye amewahi kutengeneza hits kadhaa ikiwemo ‘Kwaajili Yako, ‘Utaipenda’, Full Shangwe, na zingine.
Hussein ametangaza uamuzi huo kupitia Planet Bongo ya East Africa radio.
“Kubwa ambalo nataka niwasimulie Watanzania ambalo ninalo leo hii kwamba very...
11 years ago
GPL
BABY MADAHA ATANGAZA KUACHA MUZIKI, FILAMU
10 years ago
Bongo517 Sep
Bwana Misosi akanusha taarifa za kuacha muziki
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
Msechu: Nyota ikidoda naacha muziki
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Peter Msechu amesema kama ngoma yake mpya ya ‘Nyota’ isipofanya vizuri katika soko la muziki huo, ataachana na maswala ya muziki. Katika ngoma...
10 years ago
Bongo513 Oct
Nyota imenifundisha biashara ya muziki — Msechu
9 years ago
Bongo521 Dec
Lady Gaga alihofia ustaa ungemuua, alitaka kuacha muziki

Lady Gaga aliwahi kuhofia kuwa ustaa wake ungemuua.
Muimbaji huyo mwenye miaka 29 mwaka jana alifikiria kuachana na muziki kwasababu maisha aliyokuwa akiishi alihofia yangepelekea kupoteza maisha.
Akiongea na jarida la Billboard, muimbaji huyo alisema:
At the end of 2014, my stylist asked, ‘Do you even want to be a pop star anymore?’ I looked at him and I go, ‘You know, if I could just stop this train right now, today, I would. I just can’t. But, I need to get off now because I’m going to...