Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bwana Misosi akanusha taarifa za kuacha muziki

Hitmaker wa ‘Nitoke Vipi’, Bwana Misosi amekanusha taarifa kuwa ameacha muziki. Misosi ameiambia Bongo5 kuwa hajui nani aliyesambaza taarifa hizo ambazo nasi tuliziandika. “Unajua hizo habari hata mimi nimezisikia na nimekuwa nikipigiwa simu sana kuwa nimetangaza kuacha muziki,” amesema. “Hizo habari sio za kweli na sijui nani amezisambaza. Hapa sasa hivi navyoongea na wewe nipo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Besta akanusha kumpoteza Marlaw kwenye muziki

Msanii wa muziki, Besta ambaye pia ni mke wa Marlaw, amekanusha kumpoteza mume wake kwenye muziki. Akizungumza leo kwenye U Heard ya Cloud FM, Besta alisema hawezi kumkataza Marlaw kufanya muziki. “Kwanini nimkataze wakati na mimi nafanya muziki?” alihoji. “Kwa sababu kama ningemkataza na mimi angenikataza kufanya muziki. Kila mtu anajipanga sio kukurupuka, sio kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi atangaza kuacha muziki!

hussein_machozi

Hussein Machozi ametangaza uamuzi wake wa kuacha kufanya muziki kutokana na kuona kwamba hakuna faida yoyote anayoipata kupitia muziki kwa muda mrefu .

hussein

Machozi ambaye jina lake halisi ni Hussein Rashid ni msanii wa Bongo fleva wa muda mrefu ambaye amewahi kutengeneza hits kadhaa ikiwemo ‘Kwaajili Yako, ‘Utaipenda’, Full Shangwe, na zingine.

Hussein ametangaza uamuzi huo kupitia Planet Bongo ya East Africa radio.

“Kubwa ambalo nataka niwasimulie Watanzania ambalo ninalo leo hii kwamba very...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyota aliyeamua kuacha chuo akafanye muziki

Kwa wafuatiliaji wa miondoko ya R&B, Luther Vandross siyo jina geni masikioni mwao kutokana na umahiri aliokuwa nao nyota huyo.

 

11 years ago

GPL

BABY MADAHA ATANGAZA KUACHA MUZIKI, FILAMU

Na Gladness Mallya
IKIWA imepita miezi kadhaa tangu anaswe katika mtego  wa kujiuza na makachero wa OFM ya Global Publishers, staa wa Bongo, Baby Madaha ametangaza kuachana na sanaa ya muziki na filamu kwa maelezo kuwa amechoshwa na  maisha ya presha. Akistorisha na paparazi wetu juzikati jijini Dar es Salaam, Madaha alisema ishu ile imemsababishia matatizo makubwa ya kifamilia na hata kibiashara, hivyo kujutia mchezo...

 

9 years ago

Bongo5

Avril kurekodi wimbo na Christina Shusho? akanusha kuingia kwenye muziki wa injili

Muimbaji mrembo wa nchini Kenya, Avril huenda akarekodi wimbo na muimbaji wa nyimbo za injili, Christina Shusho siku za usoni. Hata hivyo amedai kuwa kurekodi wimbo na msanii huyo wa Tanzania hakumaanishi kuwa anaingia kwenye muziki wa injili. Avril alikutana na Christina Shusho wiki iliyopita kwenye hafla ya Catholic University Dreamz Come True Initiative jijini […]

 

10 years ago

Bongo5

Peter Msechu: Kauli kuhusiana na kuacha muziki ilitaka kunigharimu

Peter Msechu amesema kauli yake ya hivi karibuni kuwa kama wimbo wake aliomshirikisha Amini ‘Nyota’ usingefanya vizuri angeacha muziki, ilitaka kumponza kwakuwa alisema kwa utani tu na watu wakaichukulia kwa uzito mkubwa. Msechu ameiambia Bongo5 kuwa baada ya kutoa kauli hiyo alipokea simu nyingi kutoka kwa watu waliotaka kujua kama kweli amedhamiria. “Unajua niliongea vile […]

 

9 years ago

Bongo5

Lady Gaga alihofia ustaa ungemuua, alitaka kuacha muziki

lady_gaga-jpg

Lady Gaga aliwahi kuhofia kuwa ustaa wake ungemuua.

lady_gaga-jpg

Muimbaji huyo mwenye miaka 29 mwaka jana alifikiria kuachana na muziki kwasababu maisha aliyokuwa akiishi alihofia yangepelekea kupoteza maisha.

Akiongea na jarida la Billboard, muimbaji huyo alisema:

At the end of 2014, my stylist asked, ‘Do you even want to be a pop star anymore?’ I looked at him and I go, ‘You know, if I could just stop this train right now, today, I would. I just can’t. But, I need to get off now because I’m going to...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Akanusha Taarifa za Kujifungua

Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wa GPL ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli.

Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video kinachomuonyesha mwigizaji huyo akiwa ammbeba mtoto mchanga.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Aunt Ezekiel jana aliweka kipande...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani