Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Besta akanusha kumpoteza Marlaw kwenye muziki

Msanii wa muziki, Besta ambaye pia ni mke wa Marlaw, amekanusha kumpoteza mume wake kwenye muziki. Akizungumza leo kwenye U Heard ya Cloud FM, Besta alisema hawezi kumkataza Marlaw kufanya muziki. “Kwanini nimkataze wakati na mimi nafanya muziki?” alihoji. “Kwa sababu kama ningemkataza na mimi angenikataza kufanya muziki. Kila mtu anajipanga sio kukurupuka, sio kwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Avril kurekodi wimbo na Christina Shusho? akanusha kuingia kwenye muziki wa injili

Muimbaji mrembo wa nchini Kenya, Avril huenda akarekodi wimbo na muimbaji wa nyimbo za injili, Christina Shusho siku za usoni. Hata hivyo amedai kuwa kurekodi wimbo na msanii huyo wa Tanzania hakumaanishi kuwa anaingia kwenye muziki wa injili. Avril alikutana na Christina Shusho wiki iliyopita kwenye hafla ya Catholic University Dreamz Come True Initiative jijini […]

 

9 years ago

Bongo5

Bwana Misosi akanusha taarifa za kuacha muziki

Hitmaker wa ‘Nitoke Vipi’, Bwana Misosi amekanusha taarifa kuwa ameacha muziki. Misosi ameiambia Bongo5 kuwa hajui nani aliyesambaza taarifa hizo ambazo nasi tuliziandika. “Unajua hizo habari hata mimi nimezisikia na nimekuwa nikipigiwa simu sana kuwa nimetangaza kuacha muziki,” amesema. “Hizo habari sio za kweli na sijui nani amezisambaza. Hapa sasa hivi navyoongea na wewe nipo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video)

Muziki wa Bongo Fleva una safari yake ndefu tu, wengine wapo kwenye game wengine hawapo…..nakukumbusha na vitu vya zamani kidogo mtu wangu, hapa ninazo video za kitambo kidogo za mastaa mbalimbali TZ kwenye ubora wao yani enzi hizo. Ninazo video 10 zilizokuwa zikitambata enzi hizo.. TID – zeze Marlaw –Bembeleza Ray C – Uko wapi […]

The post Ni TID , Marlaw, AY, Ray C, Daz baba, Suma Lee,kwenye video zao enzi hizo…(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Shetta akanusha kubebwa kwenye kolabo anazofanya

Hitmaker wa Shikorobo, Shetta amekanusha kubebwa na wasanii anaofanya nao kolabo na kwamba nyimbo anazofanya mwenyewe hazifanyi vizuri. Shetta ameiambia Bongo5 kuwa nyimbo zake nyingi alizowashirikisha wasanii wengine yeye ndio amekuwa akifanya kazi kubwa. “Mimi naamini ngoma kama Shikorobo nimeimba chorus mwenyewe na verse mbili mwenyewe,” amesema. “Ningekuwa nimemtoa pia ningefanya vizuri. Kcee amekuwepo kwa […]

 

10 years ago

Habarileo

Mbunge akanusha kufanya vurugu kwenye ndege

MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki Tanzania (EALA) Shy-Rose Bhanji amesema tuhuma dhidi yake zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii na magazeti mengine katika nchi wanachama wa jumuiya hiyo, zimelenga kuchafua sifa yake, sababu kubwa akisema ni chuki dhidi ya watu wasioipenda misimamo yake ndani ya bunge hilo.

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AKANUSHA KUANDAA WATU WAMZOMEE DIAMOND KWENYE FIESTA

Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba akifanya yake katika Tamasha la Serengeti Fiesta Leaders Club lilifanyika hivi karibuni. Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba amekanusha uvumi unaodai kuwa huenda aliaandaa watu maalum wa kumzomea msanii Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' kwenye shoo ya Fiesta iliyofanyika October 18 katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam. Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais wa Corinthians akanusha taarifa za Pato kuhamia Liverpool kwenye dirisha la usajili Januari

alexandrePato

Mchezaji wa Corinthians, Alexandre Pato.

roberto_andrade

Rais wa Corinthians, Robero de Andrade.

Na Rabbi Hume

Rais wa klabu ya Corinthians, Robero de Andrade amekanusha uvumi uliokuwa unatolewa na vyombo mbalimbali vya habari kuwa timu hiyo imefikia makubaliano ya awali na Liverpool kuhusu uhamisho wa mchezaji wao Pato.

Andrade amesema kuwa hakuna ofa yoyote ambayo timu hiyo tayari imepokea kutoka kwa Liverpool licha ya kuandikwa habari nyingi kuwa mchezaji wao Pato atahamia Liverpool katika dirisha dogo...

 

10 years ago

Michuzi

SHIWATA YALIA KUMPOTEZA AMIGOLAS


MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA)unaungana na watanzania kuomboleza kifo cha mwanamuziki maarufu Hamisi Kayumbu 'Amigolas' aliyefariki Jumapili na kuzikwa Jumatatu iliyopita katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana Dar es Salaam kuwa marehemu Amigolas atakumbukwa kwa mengi aliyoyafanya akiwa mwanachama wa mtandao huo alishiriki kutafuta eneo la makazi ya wasanii ya kijiji cha Mwanzega na shamba la wasanii lililopo Ngarambe wilaya...

 

9 years ago

Bongo5

Beyoncé akanusha kuhusika kwenye filamu inayomhusu mwanamke maarufu wa Afrika Kusini enzi za ukoloni

beyonce-flag

Beyoncé amekanusha kuhusika kwa namna yoyote ile kwenye filamu ya maisha ya Saartjie ‘Sarah’ Baartman.

beyonce-flag

Mapema wiki hii, ilidaiwa kimakosa kuwa Beyoncé ataandika na kucheza kwenye filamu ya mwanamke huyo wa Afrika Kusini aliyekuwa akioneshwa hadharani na wakoloni wa Uingereza kutokana na kuwa na umbo lenye utata hasa, hasa makalio makubwa miaka ya 1800s.

“Beyoncé is in no way tied to this project,” mwakilishi wake aliiambia Billboard. “This is an important story that should be told,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani