SHIWATA YALIA KUMPOTEZA AMIGOLAS
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA)unaungana na watanzania kuomboleza kifo cha mwanamuziki maarufu Hamisi Kayumbu 'Amigolas' aliyefariki Jumapili na kuzikwa Jumatatu iliyopita katika makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana Dar es Salaam kuwa marehemu Amigolas atakumbukwa kwa mengi aliyoyafanya akiwa mwanachama wa mtandao huo alishiriki kutafuta eneo la makazi ya wasanii ya kijiji cha Mwanzega na shamba la wasanii lililopo Ngarambe wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo527 Aug
Besta akanusha kumpoteza Marlaw kwenye muziki
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mume azungumzia machungu ya kumpoteza mke wake aliyekuwa mjamzito kwa virusi vya corona
10 years ago
AllAfrica.Com12 Nov
Kikwete Mourns Fallen 'Amigolas'
AllAfrica.com
PRESIDENT Jakaya Kikwete has joined mourners across the country in paying tribute to fallen musician Khamisi Kayumbu 'Amigolas,' who died on Sunday and was laid to rest in Dar es Salaam. Amigolas, who until his death was working with Ruvu Stars ...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
MAJONZI: Amigolas kuzikwa leo Kisutu
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Amigolas, Hega, Diouf wapagawisha Kibaha
WANAMUZIKI mahiri wa muziki wa dansi nchini, Hamis Kayumbu ‘Amigolas’, Rogart Hega ‘Caterpillar’ na Msafiri Said ‘Diouf’, mwishoni mwa wiki walifanya shoo ya aina yake wakati wa shindano la Redd’s...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AMIGOLAS WA TWANGA PEPETA AFARIKI DUNIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-U0TeGlrt9cQ/VDgOtSvnGdI/AAAAAAAGpA4/GlyehWsADGM/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
SHIWATA kumuenzi Mwalimu Nyerere
![](http://2.bp.blogspot.com/-U0TeGlrt9cQ/VDgOtSvnGdI/AAAAAAAGpA4/GlyehWsADGM/s1600/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana kuwa katika ibada hiyo itaongozwa na Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwa upande wa Waislam na Padri John Solomon kwa upande wa Wakristo.
Taalib alisema katika ibada hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Silla na...
10 years ago
MichuziSHIWATA yakabidhi nyumba 16 Mkuranga
Na Peter Mwenda
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) imegawa nyumba nyingine 16 kwa wanachama wake waliokamilisha ujenzi ambako mpaka ...
10 years ago
Vijimambo12 Nov
HAMIS KIYUMBU AMIGOLAS AZIKWA MAKABURI YA KISUTU
![0](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/0.jpg)