SHIWATA kumuenzi Mwalimu Nyerere
![](http://2.bp.blogspot.com/-U0TeGlrt9cQ/VDgOtSvnGdI/AAAAAAAGpA4/GlyehWsADGM/s72-c/273489_100002677617754_1887829474_n.jpg)
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umeandaa ibada maalum ya kumkumbuka Baba wa taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere itakayofanyika katika mashamba yao yaliyopo kijiji cha Ngarambe, Mkuramga mkoa wa Pawani.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana kuwa katika ibada hiyo itaongozwa na Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwa upande wa Waislam na Padri John Solomon kwa upande wa Wakristo.
Taalib alisema katika ibada hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Silla na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Tuseme kweli, tunajidanganya si kumuenzi Mwalimu Nyerere
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Acheni kumuenzi Nyerere kinafiki
UNAFIKI ni hali au tendo la kujifanya kuwa mkweli au kujidai kuwa ni rafiki kumbe ni adui. Zaidi ya robo tatu ya viongozi tulionao baada ya Mwalimu Julius Nyerere ni...
10 years ago
Mwananchi15 Oct
‘Viongozi wameshindwa kumuenzi’ Nyerere’
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GrumRRxu4WA/default.jpg)
9 years ago
GPL14 Oct
9 years ago
VijimamboJK AONGOZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MWENGE WA UHURU DODOMA, NA KUMUENZI BABA WA TAIFA MWAL. JK NYERERE
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mwalimu Nyerere hatotoweka
KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere
LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere