Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Acheni kumuenzi Nyerere kinafiki

UNAFIKI ni hali au tendo la kujifanya kuwa mkweli au kujidai kuwa ni rafiki kumbe ni adui. Zaidi ya robo tatu ya viongozi tulionao baada ya Mwalimu Julius Nyerere ni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHIWATA kumuenzi Mwalimu Nyerere

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umeandaa ibada maalum ya kumkumbuka Baba wa taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere itakayofanyika katika mashamba yao yaliyopo kijiji cha Ngarambe, Mkuramga mkoa wa Pawani.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana kuwa katika ibada hiyo itaongozwa na Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwa upande wa Waislam na Padri John Solomon kwa upande wa Wakristo.
Taalib alisema katika ibada hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Silla na...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wameshindwa kumuenzi’ Nyerere’

Baadhi ya wanasiasa na wananchi mjini Zanzibar, wamesema viongozi wengi wameshindwa kufuata kwa vitendo yale aliyofanya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere wakati wa uhai wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuseme kweli, tunajidanganya si kumuenzi Mwalimu Nyerere

Ifikapo kesho, yaani Oktoba 14, Tanzania itakuwa imefikisha miaka 15 tangu ilipompoteza mwasisi wake, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

9 years ago

Vijimambo

JK AONGOZA KILELE CHA MAADHIMISHO YA MWENGE WA UHURU DODOMA, NA KUMUENZI BABA WA TAIFA MWAL. JK NYERERE

Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Juma Khatib Chum akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mwenge wa uhuru wakati wa sherehe za kilele cha Mbio za Mwenge zilizofanyika katika Uwanja wa Michezi wa Jamhuri mjini Dodoma leo Oktoba 14, 2015. Kilele hicho cha mbio za Mwenge kimekwenda sambamba na maadhimisho ya miaka 16 tangu kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

11 years ago

GPL

CLOUD AWACHANA WASANII WANAOLIA KINAFIKI MISIBANI

Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud’ hivi karibuni aliwachana wasanii wa kike na kuwataka kuachana na tabia ya kulia na kuzimia kinafiki kwenye misiba kwani wanaonesha picha mbaya katika jamii. Wasanii wa Bongo Muvi na wadau mbalimbali wakiomboleza kifo cha Msanii mwenzao Recho. Akizungumza siku moja kabla ya mazishi ya aliyekuwa msanii wa filamu, Sheila Haule ‘Recho’, Cloud...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara: Cheka Kinafiki Kama Ulienae Mnafiki!

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wastara Juma alifunguka mtandaoni kama ifuatavyo;

"Siku zote napenda kusmile hata kama nina magumu napitia, siku zote moyo wangu baridi upoza machngu ninayopewa na ninayotwikwa na kulazimishwa kuumizwa hata kama staki lakini tabasamu moyo wangu uliyopoa sura yangu ya upole isiyo na hatia ndio imekuwa fimbo ya kuchapwa kwa kuamini nina moyo wa kusahau mabaya na mwepesi wa kusamehe".

"Kweli niko hivyo lakini nikikusamehe kwa mabaya uliyonitendea auwezi kuwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BoT kumuenzi Rutihinda

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeandaa mafunzo maalumu kwa ajili ya kumbukumbu ya aliyekuwa gavana wa tatu wa benki hiyo, Gilman Rutihinda. Katika mafunzo hayo yaliyopewa jina la GRML, mada...

 

11 years ago

Mwananchi

TZ inapomsamehe Museveni kumuenzi Mandela

Suala la kusamehe na kusahau kama njia ya kumuenzi aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, marehemu Nelson Mandela limeanza kutumika katika kuamua mambo mbalimbali, likiwano suala la mgogoro baina ya viongozi wa nchi za Afrika Mashariki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani