CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Lowassa: Polisi acheni kupiga watu mabomu
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BRSp2XFKh9Q/XnR-fvF0c8I/AAAAAAABL5Q/EE-xR5yBNR019x8mbhm55w19lkvD3IyrQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4127.jpg)
DC MJEMA:WANANCHI ACHENI 'KUWAVURUGA' WAKANDARASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-BRSp2XFKh9Q/XnR-fvF0c8I/AAAAAAABL5Q/EE-xR5yBNR019x8mbhm55w19lkvD3IyrQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_4127.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-g_sTr0QlfNo/XnR-fCdymRI/AAAAAAABL5M/L8ov-h5E4akxxWpmMooIBIIC342fTT30ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_4130.jpg)
Baadhi ya wadau wakisikiliza kwa...
10 years ago
Mwananchi29 Sep
TBS: Wananchi acheni kununua nguo mitumba
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
‘Wanawake acheni kuikumbatia CCM’
MWENYEKITI wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania), Mkoa wa Mwanza, Pendo Ojijo, amewataka wanawake nchini kuachana na dhana ya kukikumbatia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika masuala mbalimbali kwani...
10 years ago
Habarileo20 Oct
Nape- Wasomi acheni kuisifu CCM
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, wasomi wasikisifu chama hicho, bali wakikosoe ili iwe chachu ya mabadiliko ndani ya chama.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kinana- Makada CCM acheni woga
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wanaCCM kuacha woga na unyonge kwani yeye ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kishindo katika nafasi zote.
11 years ago
Habarileo14 Jul
'Viongozi CCM acheni kuwaza urais'
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zanzibar wametakiwa kuacha kuwaza kinyang’anyiro cha urais mwakani badala yake waelekeze nguvu zaidi katika kazi ya kutafuta wapiga kura wapya kuhakikisha chama hicho kinashinda uchaguzi mkuu ujao.
10 years ago
Habarileo16 Aug
'Mahakimu acheni ubabe'
JAJI Kiongozi, Shaaban Lila amewataka mahakimu nchini kuacha kutumia ubabe na lugha za ukali wakati wanasikiliza na kutoa uamuzi katika mashauri mbalimbali mahakamani.
11 years ago
Habarileo20 Jun
'Acheni kulipua matumbawe'
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imekemea ulipuaji wa mabomu katika matumbawe yaliyoko baharini kwani kwa kufanya hivyo kunaharibu uhifadhi wa samaki pamoja na kuharibu mazingira.